< Ayubu 35 >
1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Ještě mluvil Elihu, a řekl:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
Domníváš-liž se, že jsi to s soudem řekl: Spravedlnost má převyšuje Boží?
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Nebo jsi řekl: Co mi prospěje, jaký užitek budu míti, bych i nehřešil?
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
Já odpovím tobě místně, i tovaryšům tvým s tebou.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Pohleď na nebe a viz, anobrž spatř oblaky, vyšší, než-lis ty.
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Jestliže bys hřešil, co svedeš proti němu? A byť se i rozmnožily nešlechetnosti tvé, co mu uškodíš?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Budeš-li spravedlivý, čeho mu udělíš? Aneb co z ruky tvé vezme?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Každémuť člověku bezbožnost jeho uškodí, a synu člověka spravedlnost jeho prospěje.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
Z množství nátisk trpících, kteréž k tomu přivodí, aby úpěli a křičeli pro ukrutnost povýšených,
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Žádný neříká: Kde jest Bůh stvořitel můj? Ješto on dává zpěv i v noci.
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
On vyučuje nás nad hovada zemská, a nad ptactvo nebeské moudřejší nás činí.
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
Tehdáž volají-li pro pýchu zlých, nebývají vyslyšáni.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
A jistě žeť ošemetnosti nevyslýchá Bůh silný, a Všemohoucí nepatří na ni.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Mnohem méně, jestliže díš: Nepatříš na to. Sám s sebou vejdi v soud před ním, a doufej v něho.
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Ale nyní poněvadž nic není těch věcí, navštívil jej hněv jeho; nebo nechce znáti hojnosti této veliké.
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
A protož marně Job otvírá ústa svá, hloupě rozmnožuje řeči své.