< Ayubu 34 >
1 Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
Eliwu azwaki maloba mpe alobaki:
2 “Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
« Bino bato ya bwanya, boyoka maloba na ngai; bino bato ya mayele, boyoka ngai!
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
Pamba te litoyi nde esosolaka maloba ndenge lolemo emekaka bilei.
4 Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
Tososola mpo na biso moko makambo ya sembo, toyekola elongo makambo oyo ezali malamu.
5 Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
Tala makambo oyo Yobo azali koloba: ‹ Nasali mabe te, kasi Nzambe aboyi kolongisa ngai.
6 Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
Atako nazali sembo, bazali kozwa ngai lokola mokosi; atako nasali mabe te, likonga na Ye ezokisi ngai pota oyo esilaka te. ›
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
Nani azali lokola Yobo, oyo amelaka kotiolama lokola mayi?
8 ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
Atambolaka elongo na banyokoli ya bato, asanganaka na bato mabe.
9 Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
Pamba te alobi: ‹ Ezali na litomba te epai na moto, na koluka kosepelisa Nzambe. ›
10 Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
Boye, bino bato ya mayele, boyoka ngai! Ekoki kosalema te ete Nzambe asala mabe; ekoki kosalema te ete Nkolo-Na-Nguya-Nyonso asala makambo oyo ezangi bosembo.
11 na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
Azongiselaka moto na moto kolanda misala na ye, apesaka na moto na moto kolanda etamboli na ye.
12 Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
Te, Nzambe akoki kosala mabe te, Nkolo-Na-Nguya-Nyonso akoki kobuka bosembo te.
13 Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
Nani akomisaki Ye Mokonzi ya mokili? Nani apesaki Ye bokonzi likolo ya mokili mobimba?
14 Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
Soki Nzambe azalaki kaka kokanisa mpo na Ye moko, mpe soki abatelaki kati na Ye moko molimo na Ye mpe pema na Ye,
15 basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
bato nyonso balingaki kokufa elongo, mpe moto nyonso alingaki kozonga putulu.
16 Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
Soki ozali na boyebi, yoka maloba oyo; yoka makambo oyo nazali koloba.
17 Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
Boni, moto oyo ayinaka bosembo akoki solo kozala mokonzi? Okokweyisa solo Nkolo-Na-Bosembo mpe Nkolo-Na-Nguya?
18 Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
Ezali Ye nde alobaka na bakonzi: ‹ Bozali bato pamba, › mpe na bato ya lokumu: ‹ Bozali bato mabe? ›
19 Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
Aponaka bilongi ya bakambi te, mpe asalelaka bazwi bolamu te mpo na bozwi na bango koleka babola, pamba te bango nyonso basalemaki na maboko na Ye.
20 Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
Bato bazali kokufa mbala moko, kati na butu; bazali kobunda-bunda mpe kolimwa, bato ya nguya bazali kolongwa atako loboko ya moto etindiki bango te.
21 Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
Miso na Ye ezali likolo ya banzela ya bato, amonaka etamboli na bango nyonso.
22 Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
Ezala molili, ezala libulu ya kufa, eloko moko te ekoki kobomba bato mabe.
23 Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
Nzambe azali na posa ya kolanda-landa bato te mpo ete bakoka koya liboso na Ye mpo na kosambisama.
24 Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
Abomaka bato ya makasi ata soki aluki koyeba tina te mpe atiaka bato mosusu na esika na bango.
25 Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
Pamba te ayebi misala na bango, akweyisi bango na butu moko, mpe babebisami.
26 Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
Apesaka bango etumbu lokola bato mabe na esika oyo bato nyonso bakoki komona,
27 kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
pamba te baboyaki kolanda Ye mpe kososola banzela na Ye.
28 Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
Bakomisaki koganga ya babola kino epai ya Nzambe, mpe koganga ya banyokolami eyokanaki epai na Ye.
29 Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
Kasi soki avandi kimia, nani akokweyisa Ye? Soki abombi elongi na Ye, nani akoki komona Ye? Nzokande, akengelaka bikolo mpe bato
30 ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
mpo na kopekisa bato mabe ete bakamba mokili te mpe batiela bato mitambo te.
31 Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
Soki moto moko alobi na Nzambe: ‹ Nasali mabe, nazwi etumbu ya masumu na ngai, kasi nakosala lisusu mabe te.
32 nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
Lakisa ngai makambo oyo nazali kokoka komona te; soki nasali mabe, nakozongela yango lisusu te. ›
33 Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
Boni, Nzambe akoki kopesa yo etumbu? Nayebi ete ondimi na yo te. Yo nde osengeli kozwa mokano, kasi ngai te! Yebisa ngai makambo oyo yo oyebi.
34 Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
Bato ya mayele mpe bato ya bwanya oyo bazali koyoka ngai balobaki:
35 Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
‹ Yobo azali koloba na boyebi te, maloba na ye ezali na tina te. ›
36 Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
Oh! Tika ete Yobo asambisama kino na suka mpo ete apesa biyano lokola moto mabe!
37 Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”
Pamba te, na lisumu na ye, azali kobakisa kotomboka, azali kotia tembe kati na biso mpe azali kokoba kobakisa maloba mpo na kotelemela Nzambe. »