< Ayubu 34 >
1 Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
И Елиу пак проговаряйки рече:
2 “Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
Слушайте думите ми, вие мъдри, И внимавайте към мене, вие разумни;
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
Защото ухото изпитва думите Както небцето вкусва ястието.
4 Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
Нека си изберем правото Та да знаем помежду си доброто.
5 Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
Защото Иов е казал: Праведен съм, И пак Бог отне правото ми;
6 Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
Въпреки правото ми считан съм за лъжец; Раната ми е неизцелима при все, че съм без престъпление.
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
Кой човек е като Иова, Който укорява Бога, както пие вода,
8 ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
И дружи с ония, които вършат беззаконие, И ходи с нечестиви човеци?
9 Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
Защото е казал: Нищо не ползува човека Да съизволява с Бога.
10 Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
Слушайте ме, прочее, вие разумни мъже. Далеч да бъде от Бога неправдата, И от Всемогъщия беззаконието!
11 na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
Защото ще въздаде на човека според делото му, И ще направи всеки да намери според пътищата си.
12 Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
Наистина Бог няма да извърши насилие, Нито ще извърне Всемогъщият правосъдието.
13 Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
Кой е възложил на Него грижата за земята? Или кой Го е натоварил с цялата вселена?
14 Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
Ако прилепи Той сърцето Си само към Себе Си, И оттегли към Себе Си Духа Си и душата Си,
15 basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
То ще издъхне заедно всяка плът, И човекът ще се върне пак в пръстта.
16 Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
Сега, ако си разумен, чуй това; Слушай гласа на думите ми.
17 Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
Ще властвува ли оня, който мрази правдата? И ще изкараш ли виновен мощния Праведник,
18 Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
Който казва на цар: Нечестив си, На князе: Беззаконници сте,
19 Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
Който не лицеприятствува пред първенци, Нито почита богатия повече от сиромаха, Понеже всички са дело на Неговите ръце?
20 Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
В една минута умират - да в полунощ; Людете им се смущават и преминават
21 Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
Защото очите на Бога са върху пътищата на човека, И Той гледа всичките му стъпки.
22 Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
Няма тъмнина, нито мрачна сянка, Гдето да се крият ония, които вършат беззаконие.
23 Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
Понеже Той няма нужда втори път да изпитва човека, За да дойде на съд пред Бога.
24 Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
Без дълго изследване сломява силните, И поставя други вместо тях.
25 Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
Прочее, Той познава делата им; И събаря ги нощем, та те се смазват.
26 Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
Удря ги като нечестиви Явно там гдето има зрители,
27 kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
Понеже се отклониха от Него, И не зачитаха ни един от пътищата Му,
28 Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
Така че направиха да стигне до Него викът на сиромасите, Та Той чу вика на угнетените.
29 Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
И когато Той успокоява, кой ще смути? Когато крие лицето Си, кой може да Го види? Безразлично дали е сторено това спрямо народ или спрямо един човек,
30 ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
За да не царува нечестив човек, Човек, който би впримчвал людете,
31 Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
Защото, ако някой каже на Бога: Понесох наказание без да съм сторил зло;
32 nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
Каквото аз не виждам, Ти ме научи; Ако съм извършил беззаконие, няма да върша вече,
33 Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
То трябва ли въздаянието му да бъде, според както ти желаеш, да го отхвърляш, Така щото ти да го избереш, казва Бог, а не Аз? Тогава ти кажи каквото знаеш.
34 Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
Разумни мъже ще ми рекат: Да! Всеки мъдър човек, който ме слуша, ще каже:
35 Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
Иов говори без знание, И думите му са лишени от мъдрост.
36 Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
Желанието ми е, Иов да бъде изпитан до край, Понеже отговори, както нечестивите човеци.
37 Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”
Защото на греха си притуря бунтовничество, Поруга се между нас, И умножава думите си против Бога.