< Ayubu 33 >
1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Men hør nu, Job, på min tale og lytt til alle mine ord!
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Se, jeg har åpnet mine leber, allerede taler min tunge i min munn.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
Ærlige og opriktige er mine ord, og hvad jeg vet, skal mine leber uttale likefrem.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
Guds Ånd har skapt mig, og den Allmektiges ånde holder mig live.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
Hvis du kan, så svar mig! Rust dig mot mig, tred frem!
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Se, jeg er din like for Gud, også jeg er dannet av ler.
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
Redsel for mig skal ikke overvelde dig, og min myndighet ikke tynge dig.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
Sannelig, du har sagt i mitt nærvær, så lød dine ord som jeg hørte:
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Ren er jeg, uten brøde, plettfri er jeg og fri for misgjerning;
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
men Gud søker grunn til fiendskap mot mig, han akter mig for sin uvenn;
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
han setter mine føtter i stokken og vokter på alle mine veier.
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
Nei, i dette har du ikke rett, svarer jeg dig; Gud er jo større enn et menneske.
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Hvorfor går du i rette med ham? Han svarer jo ikke et eneste ord.
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
Men én gang taler Gud, ja to ganger hvis mennesket ikke akter på det.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
I drøm, i nattlig syn, når dyp søvn faller på menneskene, når de slumrer på sitt leie,
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
da åpner han deres ører og trykker sitt segl på advarselen til dem,
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
for å få mennesket til å la sin gjerning fare og for å utrydde overmotet hos mannen,
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
for å berge hans sjel fra graven og hans liv fra å rammes av det drepende spyd.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
Mennesket tuktes også med smerter på sitt leie, og en stadig uro går gjennem marg og ben.
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
Han vemmes ved brød og hans sjel ved lekker mat.
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
Hans kjøtt tæres bort, så en ikke ser det mere, og hans ben, som en før ikke så, ligger bare;
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
hans sjel kommer nær til graven og hans liv til dødens engler.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
Er det da hos ham en engel, en tolk, en av tusen, som forkynner mennesket dets rette vei,
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
da ynkes Gud over ham og sier: Fri ham fra å fare ned i graven! Jeg har fått løsepenger.
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
Hans kropp blir da frodigere enn i ungdommen, han blir atter som i sin ungdoms dager.
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Han beder til Gud, og han er ham nådig; han ser Guds åsyn med jubel, og han gir mennesket dets rettferdighet tilbake.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
Han synger for menneskene og sier: Jeg hadde syndet og gjort det rette kroket, men han gjengjeldte mig det ikke;
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
han har fridd min sjel fra å fare ned i graven, og mitt liv ser lyset med lyst.
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
Se, alt dette gjør Gud to ganger, ja tre, mot en mann
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
for å frelse hans sjel fra graven, så han omstråles av de levendes lys.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
Gi akt, Job, hør på mig! Ti, så jeg får tale.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Har du ord, så svar mig, tal! Jeg vil gjerne gi dig rett.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
Hvis ikke, så hør du på mig! Ti, så jeg får lære dig visdom.