< Ayubu 33 >
1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
“Inge, Job, lohng akwoya Ma nukewa nga ac fahk nu sum uh.
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Nga akola in fahk ma oan in nunak luk uh.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
Kas luk inge nukewa ma ke nunak na pwaye luk, Ac nga ac kaskas na pwaye nu sum.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
Ngun lun God pa oreyula, ac ase nu sik moul.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
“Topukyu kom fin ku. Akoela kas in alein lom an.
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Nga kom oana sie ye mutun God, Kut kewa orekla ke fohk kle.
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
Ke ma inge wangin sripa kom in sangeng sik; Nga ac tia funmweti kom.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
“Pa inge ma nga lohng kom fahk ah:
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Kom fahk mu, ‘Wangin ma koluk luk; wangin ma sufal nga orala. Nga nasnas ac wangin mwetik.
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
A God El sifacna sokak sripa lal in akkeokyeyu, Ac oreyu oana sie mwet lokoalok lal.
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
El kapriya niuk ke mwe kapir, Ac tawi mukuikui nukewa luk.’
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
“Tuh nga fahk nu sum Job, kom tafongla. God El fulat liki kutena mwet.
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Efu ku kom akkolukye God Ac fahk mu El tiana topuk tukak lun mwet uh?
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
God El ne kaskas na kaskas, A wanginna mwet lohang nu ke ma El fahk uh.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
Ke mwet uh ac motul ke fong uh, God El ac sramsram nu selos ke mweme ac oayapa ke aruruma.
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
El oru elos in lohng ma El fahk, Ac elos sangeng ke kas in sensenkakin lal nu selos uh.
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
God El kaskas in tuh kutongya orekma koluk lalos Ac in molelosla elos in tia inse fulat.
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
El ac fah tia lela in kunausyukla elos; El molelos liki misa.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
God El aksuwosye sie mwet ke El sang mas nu sel Ac nwakla manol ke waiok.
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
Sie mwet mas ac srungala mongo, Finne mongo ma arulana yu, a ac akkolukye ikwal.
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
Manol ac srila nwe Kom ac ku in liye sri nukewa kacl uh;
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
Ac tia paht el ac som nu in facl sin mwet misa.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
“Sahp ac oasr lipufan tuku kasrel — Sie sin lipufan tausin lun God, Su akesmakinye mwet uh ke ma kunalos.
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
Ke sripen pakomuta lal, lipufan sac ac fahk, ‘Fuhlella, El ac tia som nu in facl sin mwet misa. Pa inge molin aksukosokyal uh.’
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
Manol ac fah sifil fusri, ac kui;
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Ke el pre, God El ac fah topkol; El ac fah alu nu sin God ke engan; God El ac fah oru tuh ma nukewa in sifil wola nu sel.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
El ac fahk ye mutun mwet uh, ‘Nga orekma koluk. Nga tia oru ma wo, tusruktu God El sruokyuwi na ac tia sisyula.
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
El sruokyuwi tuh nga in tia som nu in facl sin mwet misa, Ac inge nga srakna moul.’
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
“God El nuna oru na ouinge pacl nukewa;
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
El ac molela moul lun sie mwet Ac sang nu sel tuh elan arulana engan lah el moul.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
“Inge, Job, porongo ma nga fahk uh; Misla ac lela ngan kaskas.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Tuh fin oasr ma kom lungse fahk, kom fahk nga in lohng; Fin tuh pwaye ma kom fahk an, nga fah insewowo in fahk mu pwaye sum.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
A fin wangin ma kom ac fahk, kom misla ac porongeyu, Ac nga ac fah luti nu sum in lalmwetmet.”