< Ayubu 33 >

1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Ecoute donc, Job, mes paroles, et sois attentif à tous mes discours.
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Voilà que j’ai ouvert ma bouche, que ma langue parle dans ma gorge.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
C’est d’un cœur simple que sortiront mes discours, et c’est un sentiment pur que mes lèvres exprimeront.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
L’Esprit de Dieu m’a fait, le souffle du Tout-Puissant m’a donné la vie.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
Si tu peux, réponds-moi, et tiens ferme en ma présence,
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Vois, Dieu m’a fait comme il t’a fait, et c est de la même boue que j’ai été formé.
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
Cependant, que ce qu’il y a de merveilleux en moi ne t’épouvante point, et que mon éloquence ne soit pas accablante pour toi.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
Tu as donc dit à mes oreilles, et j’ai entendu la voix de tes paroles:
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Je suis pur et sans péché; sans tache, et il n’y a point d’iniquité en moi.
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
C’est parce que Dieu a trouvé des sujets de plaintes contre moi, qu’il a pensé que j’étais son ennemi.
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
Il a mis mes pieds dans les chaînes, et il a gardé toutes mes voies.
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
C’est donc en cela que tu n’as pas été justifié; car je te répondrai que Dieu est plus grand que l’homme.
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Disputes-tu contre lui, parce qu’il ne t’a pas répondu sur toutes tes paroles?
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
Dieu ne parle qu’une fois, et il ne répète pas ce qu’il a dit.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
Pendant un songe, dans une vision nocturne, quand un profond sommeil s’empare des hommes et qu’ils dorment dans leur lit:
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
C’est alors qu’il ouvre les oreilles des hommes, et que, les instruisant, il leur enseigne la science,
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
Pour détourner ainsi un homme des choses qu’il fait, et le délivrer de l’orgueil;
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
Retirant son âme de la corruption, et empêchant que sa vie ne tombe sous le glaive.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
Il le châtie encore par la douleur dans son lit, et il fait sécher tous ses os.
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
Durant sa vie, le pain lui devient un objet d’aversion, ainsi que le devient pour son âme une nourriture auparavant très recherchée.
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
Toute sa chair se consumera, et ses os, qui étaient couverts, seront mis à nu.
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
Son âme a été proche de la corruption, et sa vie de tout ce qui pouvait lui donner la mort.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
Si un ange, un d’entre mille, parle pour lui, et qu’il annonce l’équité de cet homme,
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
Dieu aura compassion de lui, et il dira: Délivre-le, afin qu’il ne descende pas dans la corruption; j’ai trouvé ce en quoi je peux lui être propice.
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
Sa chair est consumée par les supplices; qu’il retourne aux jours de sa jeunesse.
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Il priera Dieu, et Dieu se laissera apaiser en sa faveur; il verra sa face avec jubilation, et il rendra à cet homme sa justice.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
Il regardera les hommes et il dira: J’ai péché, je me suis vraiment rendu coupable, et je n’ai pas reçu le châtiment dont j’étais digne.
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
Il a délivré son âme, afin qu’elle n’allât pas à la mort, mais que, vivant, elle vît la lumière.
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
Remarque bien, Dieu fait trois fois ces choses en chaque homme,
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
Afin de rappeler leurs âmes de la corruption, et de les illuminer de la lumière des vivants.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
Prête attention, Job, écoute-moi; garde le silence, pendant que je parle.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Mais si tu as quelque chose à dire, réponds-moi; car je veux que tu paraisses juste.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
Que si tu n’as rien, écoute-moi; garde le silence, et je t’enseignerai la sagesse.

< Ayubu 33 >