< Ayubu 33 >
1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Or, donc, écoute, Job, mon discours, prête ton attention à toutes mes paroles.
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Vois, je vais ouvrir la bouche et laisser parler ma langue dans mon palais.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
La droiture de mon cœur respire dans mes paroles, et mes lèvres diront clairement ce que je sais.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
L’Esprit de Dieu m’a créé, le souffle de Dieu soutient ma vie.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
Si tu le peux, tu me réfuteras; oppose-moi tes raisons, tiens-moi tête.
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Vois, je suis comme toi au regard de Dieu: je suis pétri d’argile, moi aussi.
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
Tu n’as donc pas à trembler devant moi, et mon autorité ne pèsera pas lourdement sur toi.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
Mais tu as dit à mes oreilles j’entends encore le son de tes paroles:
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
"Je suis pur, sans péché; je suis à l’abri de tout blâme, n’ayant point commis de faute.
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
Mais quoi! Dieu trouve des griefs contre moi, il me considère comme son ennemi.
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
Il emprisonne mes pieds dans les ceps, surveille toutes mes voies!"
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
"Certes, en cela tu n’as pas raison, te répliquerai-je, car Dieu est plus grand que l’homme."
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Pourquoi entres-tu en lutte avec lui, sous prétexte qu’il ne rend compte d’aucun de ses décrets?
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
A la vérité, Dieu parle une fois, même deux fois; on n’y fait pas attention!
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
En songe, dans des visions nocturnes, lorsqu’un profond sommeil s’empare des hommes, lorsqu’ils dorment sur leurs couches,
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
alors il ouvre l’oreille des mortels, et met son sceau sur la correction qu’il leur inflige,
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
pour détourner les gens de leurs agissements et protéger les puissants contre l’orgueil.
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
Ainsi il préserve leur âme de la perdition et empêche leur vie de succomber sous le glaive.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
L’Homme est éprouvé par la souffrance sur sa couche, alors que la plupart de ses os demeurent intacts.
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
Tout son être a le dégoût de la nourriture, son âme repousse les mets les plus délicieux.
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
Sa chair se consume et disparaît à la vue; ses os, qui étaient invisibles, deviennent saillants.
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
Son âme est tout près de la tombe; sa vie semble livrée aux agents de la mort.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
S’Il est alors un ange qui intercède pour lui, un seul entre mille, qui révèle à l’homme son devoir,
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
qui le prenne en pitié et dise: "Fais-lui grâce, pour qu’il ne descende pas dans la fosse, j’ai obtenu sa rançon",
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
alors sa chair retrouve la sève de la jeunesse, il est rendu aux jours de son adolescence.
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Il implore Dieu, qui l’écoute avec bienveillance et lui permet de voir sa face avec des cris d’allégresse; il rémunère ainsi la droiture du mortel.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
Celui-ci promène ses regards sur les hommes et dit: "J’Avais péché, violé le droit, et cela n’était pas bien de ma part.
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
Mais Dieu a exempté mon âme de descendre dans la fosse, ma vie jouira encore de la lumière."
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
Voyez, tout cela, Dieu le fait deux ou trois fois en faveur de l’homme,
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
pour ramener son âme des bords de l’abîme, et l’éclairer de la lumière des vivants.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
Sois attentif, Job, écoute-moi; fais silence et laisse-moi parler.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Si tu as quelque chose à dire, réplique-moi; parle, car je souhaite te voir justifié.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
Si non, c’est à toi à m’écouter; tais-toi, et je t’enseignerai la sagesse.