< Ayubu 33 >

1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Čuj dakle, Jobe, što ću ti kazati, prikloni uho mojim besjedama.
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Evo, usta sam svoja otvorio, a jezik riječi pod nepcem mi stvara.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
Iskreno će ti zborit' srce moje, usne će čistu izreći istinu.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
TÓa i mene je duh Božji stvorio, dah Svesilnoga oživio mene.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
Ako uzmogneš, ti me opovrgni; spremi se da se suprotstaviš meni!
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Gle, kao i ti, i ja sam pred Bogom, kao i ti, od gline bjeh načinjen;
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
zato ja strahom tebe motrit' neću, ruka te moja neće pritisnuti.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
Dakle, na moje uši rekao si - posve sam jasno tvoje čuo riječi:
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
'Nedužan sam i bez ikakva grijeha; prav sam i nema krivice na meni.
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
Al' On izlike protiv mene traži i za svojeg me drži dušmanina.
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
Noge je moje u klade metnuo, nad svakim mojim on pazi korakom.'
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
Ovdje, kažem ti, u pravu ti nisi, jer s Bogom čovjek mjerit' se ne može.
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Pa zašto s njime zamećeš prepirku što ti na svaku riječ ne odgovara?
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
Bog zbori nama jednom i dva puta, al' čovjek na to pažnju ne obraća.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
U snovima, u viđenjima noćnim, kada san dubok ovlada ljudima i na ležaju dok tvrdo snivaju,
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
tad on govori na uho čovjeku i utvarama plaši ga jezivim
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
da ga od djela njegovih odvrati, da u čovjeku obori oholost,
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
da dušu njegovu spasi od jame i život mu od puta u Podzemlje.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
Bolešću on ga kara na ležaju kad mu se kosti tresu bez prestanka,
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
kad se kruh gadi njegovu životu i ponajbolje jelo duši njegovoj;
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
kada mu tijelo gine naočigled i vide mu se kosti ogoljele,
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
kad mu se duša približava jami a život njegov boravištu mrtvih.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
Ako se uza nj nađe tad anđeo, posrednik jedan između tisuću, da čovjeka na dužnost opomene,
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
pa se sažali nad njim i pomoli: 'Izbavi ga da u jamu ne ide; za život njegov nađoh otkupninu!
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
Neka mu tijelo procvate mladošću, nek' se vrati u dane mladenačke!'
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Vapije k Bogu i Bog ga usliša: radosno On ga pogleda u lice; vrati čovjeku pravednost njegovu.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
Tada čovjek pred ljudima zapjeva: 'Griješio sam i pravo izvrtao, ali mi Bog zlom nije uzvratio.
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
On mi je dušu spasio od jame i život mi se veseli svjetlosti.'
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
Gle, sve to Bog je spreman učiniti do dva i do tri puta za čovjeka:
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
da dušu njegovu spasi od jame i da mu život svjetlošću obasja.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
Pazi dÓe, Jobe, dobro me poslušaj; šuti, jer nisam sve još izrekao.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Ako riječi još imaš, odvrati mi, zbori - rado bih opravdao tebe.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
Ako li nemaš, poslušaj me samo: pazi, rad bih te poučit' mudrosti.”

< Ayubu 33 >