< Ayubu 32 >
1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
Böylece bu üç kişi Eyüp'e yanıt vermekten vazgeçti, çünkü Eyüp kendi doğruluğundan emindi.
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
Ram ailesinden Bûzlu Barakel oğlu Elihu Eyüp'e çok öfkelendi. Çünkü Eyüp kendini Tanrı'dan haklı görüyordu.
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
Elihu Eyüp'ün üç arkadaşına da öfkelendi, çünkü Eyüp'ü suçlamalarına karşın sağlam bir yanıt bulamamışlardı.
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
Elihu Eyüp'le konuşmak için sırasını beklemişti, çünkü ötekiler yaşça kendisinden büyüktü.
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
Bu üç kişinin başka bir şey söyleyemeyeceğini görünce öfkesi alevlendi.
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
Bûzlu Barakel oğlu Elihu şöyle konuştu: “Ben yaşça küçüğüm, sizse yaşlısınız. Bu yüzden çekindim, bildiğimi söylemekten korktum.
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
‘Çok gün görenler konuşsun’ dedim, ‘Çok yıl yaşayanlar bilgeliği öğretsin.’
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
Oysa insana ruh, Her Şeye Gücü Yeten'in soluğu akıl verir.
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
Akıl yaşta değil baştadır. Adaleti anlamak yaşa bakmaz.
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
“Bu yüzden, ‘Beni dinleyin’ diyorum, Ben de bildiğimi söyleyeyim.
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
Siz konuşurken ben bekledim, Siz ne diyeceğinizi araştırırken Düşüncelerinizi dinledim.
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
Bütün dikkatimi size çevirdim. Ama hiçbiriniz Eyüp'ün haksızlığını kanıtlayamadı, Onun söylediklerine karşılık veremedi.
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
‘Biz bilgeliğe eriştik, Bırakın Tanrı onu haksız çıkarsın, insan değil’ demeyin.
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
Ama Eyüp'ün sözlerinin hedefi ben değildim, Bu yüzden onu sizin sözlerinizle yanıtlamayacağım.
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
“Onlar yıldı, yanıt veremiyorlar artık, Söyleyecek şeyleri kalmadı.
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
Onlar konuşmuyor diye ben beklemeli miyim, Duruyor, yanıt vermiyorlar diye?
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
Benim de söyleyecek sözüm var, Ben de bildiğimi söyleyeceğim.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
Çünkü içim dolu, İçimdeki ruh beni zorluyor.
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
İçim açılmamış şarap gibi, Yeni şarap tulumları gibi patlamak üzere.
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
Konuşup rahatlamalıyım, Ağzımı açıp yanıtlamalıyım.
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
Kimseye ayrıcalık göstermeyecek, Kimseye yaltaklanmayacağım.
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
Çünkü yaltaklanmayı bilsem, Yaratıcım beni hemen yok ederdi.