< Ayubu 32 >

1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
Ke sripen Job el tu na ku in nunku mu wangin ma koluk lal, oru mwet tolu ah tui ac tila srike in topkol.
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
Tusruktu Elihu, sie mwet su tu apkuran nu yoroltal, el koflana kutongya kasrkusrak lal, mweyen Job el sifacna pangon mu el wo ac el sis koluk uh nu sin God. (Elihu el wen natul Barakel, sie sin mwet in sruf lal Buz, ac el ma in sou lun Ram.)
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
El oayapa kasrkusrak sin mwet kawuk tolu lal Job, mweyen wanginna ma eltal ku in sang topkol Job, oru oana in tuh sutuu sin God.
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
Na ke sripen Elihu pa fusr emeet sin mwet ma tu in acn sac, oru el soano nwe ke na mwet nukewa tari ke sramsram uh.
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
Ke el liye lah mwet tolu ah tia ku in topkol Job, el arulana kasrkusrakak,
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
ac mutawauk in kaskas. Pa inge kas lal: [Elihu] “Nga fusr, ac komtal matu, Oru nga tuh sangeng in fahk nunak luk uh.
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
Nga sifacna fahk mu fal komtal in tukeni asramsrami, Ac fahk nunak lalmwetmet lomtal an, lah komtal pa matu.
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
Tusruktu Ngun lun God Kulana Pa ac tuku nu sin mwet uh ac sang lalmwetmet nu selos.
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
Tia matwen mwet uh pa oru elos in lalmwetmet, Ku kasrelos in etu ma pwaye.
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
Ke ma inge, nga ke komtal in lohngyu, Ac lela ngan fahk nu sumtal ma nga nunku uh.
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
“Nga tuh mislana ac porongo ke komtal sramsram, Oayapa nga tupan ke komtal sukok kas lalmwetmet komtal in orekmakin.
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
Ke nga lohang nu kac ah, nga konauk lah komtal munasla sel; Komtal tiana aksutueyela ma Job el fahk ah.
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
Efu ku komtal ku in fahk mu komtal konauk lalmwetmet? Enenuyuk God Elan topkol Job, mweyen komtal tuh koflana topkolla.
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
Job el tuh kaskas nu sumtal, ac tia nu sik, Tusruktu nga tiana ku in topkol oana ke komtal oru ah.
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
“Job, wanginla ma eltal ku in fahk; Wanginna ma eltal ku in sang topuk kom.
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
Mea, nga ac srakna tupan ke eltal misla tila sramsram uh? Eltal tu na ac wanginla ma eltal ku in sifilpa fahk.
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
Mo. Nga ac sot top luk sifacna nu sum, Ac fahkot ma nga nunku uh.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
Nga arulana elyala ngan tari sramsram; Nga kofla kutongya kas luk uh.
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
Nga fin tia eis pacl luk in sramsram, Nga ac fokelik oana sie pak in neinyuk wain ma sessesla ke wain sasu.
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
Nga kofla muteng; enenu na nga in kaskas.
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
Nga ac fah tia wiwi mwet ke alein se inge; Nga ac tia yukin sie.
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
Nga tia wi yukin mwet, Ac nga fin oru, God El ac sa na in kaiyu.

< Ayubu 32 >