< Ayubu 32 >

1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
S megszűnt ez a három férfi felelni Jóbnak, mert igaz volt a maga szemeiben.
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
Akkor föllobbant haragja Elihúnak, a Búzbeli Barakél fiának a Rám nemzetségből; Jób ellen lobbant föl haragja, mivelhogy igazabbnak vélte magát Istennél,
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
s három barátja ellen lobbant föl haragja, mivelhogy nem találtak feleletet, de Jóbot gonosznak ítélték.
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
Elihú pedig kivárta Jóbot szavaival, mert azok korra öregebbek voltak nálánál.
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
De látta Elíhú, hogy nincsen felelet a. három férfi szájában, akkor föllobbant haragja.
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
S megszólalt Elíhú, a Búzbeli Barakélnek fia és mondta: Fiatal vagyok én korra, ti pedig aggastyánok, azért tartózkodtam és féltem attól, hogy tudásomat közöljem veletek.
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
Azt mondtam: Napok beszéljenek és az évek sokasága tudasson bölcsséget.
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
Ámde a szellem az a halandóban s a Mindenható lehelete, a mi értelmessé teszi őket.
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
Nem a sokévűek bölcsek, s nem a vének értenek ítéletet;
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
azért mondtam: hallgass reám, hadd közöljem én is tudásomat.
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
Lám, várakoztam szavaitokra, figyeltem értelmezéseitekre, míg átkutatnátok a beszédeket.
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
Ügyeltem is reátok, de íme nincs, ki Jóbot megczáfolná, ki közületek mondásaira felelne.
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
Nehogy mondjátok: találtunk bölcsességet; Isten taszítsa őt el, nem ember!
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
De nem én hozzám intézett beszédet, nem is a ti mondásaitokkal válaszolnék neki.
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
Megrettentek, nem feleltek többet, elszakadtak tőlük a szavak.
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
Várakozzam-e, mert ők nem beszélnek, mert elállottak, nem feleltek többé?
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
Hadd felelek: én is a részemmel, hadd közlöm én is tudásomat.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
Mert tele vagyok szavakkal, szorít engem bensőm szelleme.
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
Íme bensőm olyan, mint nyitatlan bor, mint a mely új tömlőkből kifakad.
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
Hadd beszélek, hogy megkönnyebbüljek, kinyitom ajkaimat és felelek.
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
Nem kell senki személyét tekintenem és embernek nem fogok hízelkedni;
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
mert nem is tudok én hízelkedni; csakhamar elvinne engem alkotóm.

< Ayubu 32 >