< Ayubu 32 >

1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
and to cease three [the] human [the] these from to answer [obj] Job for he/she/it righteous in/on/with eye his
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
and to be incensed face: anger Elihu son: child Barachel [the] Buzite from family Ram in/on/with Job to be incensed face: anger his upon to justify he soul: myself his from God
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
and in/on/with three neighbor his to be incensed face: anger his upon which not to find answer and be wicked [obj] Job
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
and Elihu to wait [obj] Job in/on/with word: speaking for old they(masc.) from him to/for day: old
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
and to see: see Elihu for nothing answer in/on/with lip three [the] human and to be incensed face: anger his
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
and to answer Elihu son: child Barachel [the] Buzite and to say little I to/for day: year and you(m. p.) aged upon so to fear and to fear from to explain knowledge my [obj] you
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
to say day to speak: speak and abundance year to know wisdom
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
surely spirit he/she/it in/on/with human and breath Almighty to understand them
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
not many be wise and old to understand justice
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
to/for so to say to hear: hear [emph?] to/for me to explain knowledge my also I
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
look! to wait: wait to/for word your to listen till understanding your till to search [emph?] speech
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
and till you to understand and behold nothing to/for Job to rebuke to answer word his from you
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
lest to say to find wisdom God to drive him not man
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
and not to arrange to(wards) me speech and in/on/with word your not to return: reply him
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
to to be dismayed not to answer still to proceed from them speech
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
and to wait: wait for not to speak: speak for to stand: stand not to answer still
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
to answer also I portion my to explain knowledge my also I
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
for to fill speech to press me spirit belly: body my
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
behold belly: abdomen my like/as wine not to open like/as medium new to break up/open
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
to speak: speak and be wide to/for me to open lips my and to answer
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
not please to lift: kindness face: kindness man: anyone and to(wards) man not to flatter
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
for not to know to flatter like/as little to lift: bear me to make me

< Ayubu 32 >