< Ayubu 32 >

1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
Ona tri čovjeka prestadoše Jobu odgovarati, jer je on sebe smatrao nevinim.
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
Nato se rasrdi Elihu, sin Barakeelov, iz Buza, od plemena Ramova: planu gnjevom na Joba zato što je sebe držao pravednim pred Bogom;
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
a planu gnjevom i na tri njegova prijatelja jer nisu više našli ništa što bi odgovorili te su tako Boga osudili.
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
Dok su oni govorili s Jobom, Elihu je šutio, jer su oni bili stariji od njega.
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
Ali kad vidje da ona tri čovjeka nisu više imala odgovora u ustima, planu od srdžbe.
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
I progovorivši, Elihu, sin Barakeelov, iz Buza, reče: “Po godinama svojim još mlad sam ja, a u duboku vi ste ušli starost; bojažljivo se zato ja ustezah znanje svoje pokazati pred vama.
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
Mišljah u sebi: 'Govorit će starost, mnoge godine pokazat će mudrost.'
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
Uistinu, dah neki u ljudima, duh Svesilnog mudrim čini čovjeka.
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
Dob poodmakla ne daje mudrosti a niti starost pravednosti uči.
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
Zato vas molim, poslušajte mene da vam i ja znanje svoje izložim.
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
S pažnjom sam vaše besjede pratio i razloge sam vaše saslušao dok ste tražili što ćete kazati.
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
Na vama moja sva bijaše pažnja, al' ne bi nikog da Joba pobije ni da mu od vas tko riječ opovrgne.
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
Nemojte reći: 'Na mudrost smo naišli! Bog će ga pobit jer čovjek ne može.'
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
Nije meni on besjedu upravio: odvratit mu neću vašim riječima.
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
Poraženi, otpovrgnut ne mogu, riječi zapeše u grlu njihovu.
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
Čekao sam! Al', gle, oni ne zbore. Umukoše, ni riječ više da kažu!
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
Na meni je da progovorim sada, znanje ću svoje i ja izložiti.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
Riječi mnoge u meni naviru dok iznutra moj duh mene nagoni.
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
Gle, nutrina mi je k'o mošt zatvoren, k'o nova će se raspući mješina.
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
Da mi odlane, govorit ću stoga, otvorit ću usne i odvratit' vama.
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
Nijednoj strani priklonit se neću niti laskat ja namjeravam kome.
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
Laskati ja ne umijem nikako, jer smjesta bi me Tvorac moj smaknuo.

< Ayubu 32 >