< Ayubu 31 >

1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Умову я склав був з очима своїми, то як буду дивитись на ді́вчину?
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
І зве́рху яка доля від Бога, чи спа́дщина від Всемогутнього із висот?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Хіба не заги́біль для кри́вдника, і хіба не нещастя злочи́нцям?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Хіба ж Він не бачить доро́ги мої, і не лічить усі мої кро́ки?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Якщо я ходив у марно́ті, і на оману спішила нога моя, —
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
то нехай на вазі́ справедливости зва́жить мене, — і невинність мою Бог пізнає!
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Якщо збо́чує крок мій з дороги, і за очима моїми пішло моє серце, і до рук моїх не́чисть приліпла, —
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
то нехай сію я, а їсть інший, а рослинність моя нехай ви́рвана буде з корі́нням!
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Якщо моє серце звабля́лось до жінки чужої, і прича́ювався я при две́рях мойого това́риша,
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
то хай ме́ле для іншого жінка моя, і над нею нехай нахиля́ються інші!
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Бо гидо́та оце, й це провина підсу́дна,
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
бо огонь це, який буде жерти аж до Аваддо́ну, і ви́рве з корі́нням увесь урожай мій!
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Якщо я поне́хтував правом свойого раба чи своєї неві́льниці в їх супере́чці зо мною,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
то що я зроблю́, як піді́йметься Бог? А коли Він пригля́неться, що́ Йому відпові́м?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Чи ж не Той, Хто мене учинив у нутрі, учинив і його, і Один утвори́в нас в утро́бі?
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Чи бажа́ння убогих я стримував, а очі вдовицям засму́чував?
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
Чи я сам поїдав свій шмато́к, і з нього не їв сирота́?
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
Таж від днів молоде́чих моїх вироста́в він у мене, як в батька, і від утро́би матері моєї я прова́див його!
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Якщо бачив я ги́нучого без одежі, і вбрання́ не було́ в сірома́хи, —
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
чи ж не благословляли мене його сте́гна, і ру́ном овечок моїх він не грівся?
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
Якщо на сироту я пору́шував руку свою, коли бачив у брамі собі допомогу, —
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
хай раме́но моє відпаде́ від свойого плеча, а рука моя від сугло́бу свого нехай буде відла́мана!
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Бо о́страх на мене — нещастя від Бога, а перед вели́ччям Його я не можу встоя́ти.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Чи я золото клав за наді́ю собі, чи до щирого золота я говорив: „ Ти, безпеко моя“?
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
Чи ті́шився я, що велике багатство моє, й що рука моя стільки надбала?
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
Коли бачив я сонце, як сяє воно, а місяць велично пливе́,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
то коли б потає́мно пова́билось серце моє, і цілу́нки рукою я їм посилав, —
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
це так само провина підсу́дна була б, бо відрікся б я Бога Всевишнього!
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Чи я ті́шивсь упа́дком свойо́го нена́висника, чи порушувавсь я, коли зло спотика́ло його?
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
Таки ні, — не давав я на гріх піднебі́ння свого, щоб прокля́ттям жадати душі його.
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Хіба люди наме́ту мого не казали: „Хто покаже такого, хто з м'яса його не наси́тився?“
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Чужи́нець на вулиці не ночува́в, — я двері свої відчиняв подоро́жньому.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Чи ховав свої про́гріхи я, як люди́на, щоб у своє́му нутрі затаї́ти провину свою?
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
Бо тоді я боявся б великого на́товпу, і сором від ро́дів жахав би мене, я мовчав би, й з дверей не вихо́див.
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
О, якби мене вислухав хто! Оце пі́дпис моєї руки: Нехай Всемогу́тній мені відповість, а ось звій, зо скарго́ю, що його написав мій проти́вник.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Чи ж я не носив би його на своєму плечі, не обви́нувся б ним, як вінка́ми?
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Число кро́ків своїх я представлю йому; мов до кня́зя, наближусь до нього.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Якщо проти мене голо́сить земля моя, й її бо́розни плачуть із нею,
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
якщо без гроше́й я їв пло́ди її, а її власника́ я стогна́ти примушував, —
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
то за́мість пшениці хай ви́росте те́рен, а замість ячме́ню — кукі́ль!“Слова Йова скінчи́лися.

< Ayubu 31 >