< Ayubu 31 >
1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Завет положил я с глазами моими, чтобы не помышлять мне о девице.
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Какая же участь мне от Бога свыше? И какое наследие от Вседержителя с небес?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Не для нечестивого ли гибель, и не для делающего ли зло напасть?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Не видел ли Он путей моих, и не считал ли всех моих шагов?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Если я ходил в суете, и если нога моя спешила на лукавство, -
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
пусть взвесят меня на весах правды, и Бог узнает мою непорочность.
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Если стопы мои уклонялись от пути и сердце мое следовало за глазами моими, и если что-либо нечистое пристало к рукам моим,
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
то пусть я сею, а другой ест, и пусть отрасли мои искоренены будут.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Если сердце мое прельщалось женщиною и я строил ковы у дверей моего ближнего, -
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
пусть моя жена мелет на другого, и пусть другие издеваются над нею,
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
потому что это - преступление, это - беззаконие, подлежащее суду;
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
это - огонь, поядающий до истребления, который искоренил бы все добро мое.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Если я пренебрегал правами слуги и служанки моей, когда они имели спор со мною,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
то что стал бы я делать, когда бы Бог восстал? И когда бы Он взглянул на меня, что мог бы я отвечать Ему?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Не Он ли, Который создал меня во чреве, создал и его и равно образовал нас в утробе?
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Отказывал ли я нуждающимся в их просьбе и томил ли глаза вдовы?
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
Один ли я съедал кусок мой, и не ел ли от него и сирота?
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
Ибо с детства он рос со мною, как с отцом, и от чрева матери моей я руководил вдову.
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Если я видел кого погибавшим без одежды и бедного без покрова, -
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
не благословляли ли меня чресла его, и не был ли он согрет шерстью овец моих?
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
Если я поднимал руку мою на сироту, когда видел помощь себе у ворот,
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
то пусть плечо мое отпадет от спины, и рука моя пусть отломится от локтя,
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
ибо страшно для меня наказание от Бога: пред величием Его не устоял бы я.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Полагал ли я в золоте опору мою и говорил ли сокровищу: ты - надежда моя?
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
Радовался ли я, что богатство мое было велико, и что рука моя приобрела много?
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
Смотря на солнце, как оно сияет, и на луну, как она величественно шествует,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
прельстился ли я в тайне сердца моего, и целовали ли уста мои руку мою?
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
Это также было бы преступление, подлежащее суду, потому что я отрекся бы тогда от Бога Всевышнего.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Радовался ли я погибели врага моего и торжествовал ли, когда несчастье постигало его?
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
Не позволял я устам моим грешить проклятием души его.
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Не говорили ли люди шатра моего: о, если бы мы от мяс его не насытились?
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Странник не ночевал на улице; двери мои я отворял прохожему.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Если бы я скрывал проступки мои, как человек, утаивая в груди моей пороки мои,
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
то я боялся бы большого общества, и презрение одноплеменников страшило бы меня, и я молчал бы и не выходил бы за двери.
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
О, если бы кто выслушал меня! Вот мое желание, чтобы Вседержитель отвечал мне, и чтобы защитник мой составил запись.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Я носил бы ее на плечах моих и возлагал бы ее, как венец;
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
объявил бы ему число шагов моих, сблизился бы с ним, как с князем.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Если вопияла на меня земля моя и жаловались на меня борозды ее;
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
если я ел плоды ее без платы и отягощал жизнь земледельцев,
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
то пусть вместо пшеницы вырастает волчец и вместо ячменя куколь. Слова Иова кончились.