< Ayubu 31 >
1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Eu fiz um pacto com meus olhos; como, pois, eu olharia com cobiça para a virgem?
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Pois qual é a porção [dada] por Deus acima, e a herança [dada] pelo Todo-Poderoso das alturas?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Por acaso a calamidade não é para o perverso, e o desastre para os que praticam injustiça?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Por acaso ele não vê meus caminhos, e conta todos os meus passos?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Se eu andei com falsidade, e se meu pé se apressou para o engano,
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
Pese-me ele em balanças justas, e Deus saberá minha integridade.
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Se meus passos se desviaram do caminho, e meu coração seguiu meus olhos, e se algo se apegou às minhas mãos,
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
Que eu semeie, e outro coma; e meus produtos sejam arrancados.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Se foi meu coração se deixou seduzir por [alguma] mulher, ou se estive espreitei à porta de meu próximo,
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
Que minha mulher moa para outro, e outros se encurvem sobre ela.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Pois tal seria um crime vergonhoso, e delito [a ser sentenciado por] juízes.
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
Pois seria um fogo que consumiria até à perdição, e destruiria toda a minha renda.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Se desprezei o direito de meu servo ou de minha serva quando eles reclamaram comigo,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
Que faria eu quando Deus se levantasse? E quando ele investigasse [a causa], o que eu lhe responderia?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Aquele que me fez no ventre [materno também] não fez a ele? E não nos preparou de um mesmo [modo] na madre?
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Se eu neguei aos pobres o que eles desejavam, ou fiz desfalecer os olhos da viúva;
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
E se comi meu alimento sozinho, e o órfão não comeu dele
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
(Porque desde a minha juventude cresceu comigo como [se eu fosse seu pai], e desde o ventre de minha mãe guiei [a viúva] );
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Se eu vi alguém morrer por falta de roupa, e o necessitado sem algo que o cobrisse,
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
Se sua cintura não me bendisse, quando ele se esquentava com as peles de meus cordeiros;
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
Se levantei minha mão contra o órfão, quando vi que seria favorecido na corte judicial,
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
Que minha escápula caia do meu ombro, e meu braço se quebre de sua articulação.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Porque o castigo de Deus era um assombro para mim, e eu não teria poder contra sua majestade.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Se eu pus no ouro minha esperança, ou disse ao ouro fino: Tu és minha confiança;
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
Se eu me alegrei de que minha riqueza era muita, e de que minha mão havia obtido muito;
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
Se olhei para o sol quando brilhava, e à lua quando estava bela,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
E meu coração se deixou enganar em segredo, e minha boca beijou minha mão,
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
Isto também seria um delito [a ser sentenciado por] juiz; porque teria negado ao Deus de cima.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Se eu me alegrei da desgraça daquele que me odiava, e me agradei quando o mal o encontrou,
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
Sendo que nem deixei minha boca pecar, desejando sua morte com maldição,
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Se a gente da minha casa nunca tivesse dito: Quem não se satisfez da carne dada por ele?
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
O estrangeiro não passava a noite na rua; eu abria minhas portas ao viajante.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Se encobri minhas transgressões como as pessoas [fazem], escondendo meu delito em meu seio;
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
Porque eu tinha medo da grande multidão, e o desprezo das famílias me atemorizou; então me calei, e não saí da porta:
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
Quem me dera se alguém me ouvisse! Eis que minha vontade é que o Todo-Poderoso me responda, e meu adversário escrevesse um relato da acusação.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Certamente eu o carregaria sobre meu ombro, e o poria em mim como uma coroa.
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Eu lhe diria o número de meus passos, e como um príncipe eu me chegaria a ele.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Se minha terra clamar contra mim, e seus sulcos juntamente chorarem;
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
Se comi seus frutos sem [pagar] dinheiro, ou fiz expirar a alma de seus donos;
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
Em lugar de trigo que [me] produza cardos, e ervas daninhas no lugar da cevada. [Aqui] terminam as palavras de Jó.