< Ayubu 31 >

1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Uczyniłem przymierze z oczyma swemi, abym nie pomyślał o pannie.
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Bo cóż za dział od Boga z góry? a co za dziedzictwo Wszechmocnego z wysokości?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Azaż nie nagotowane zginienie złośnikom, a sroga pomsta czyniącym nieprawość?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Azaż on nie widzi dróg moich, a wszystkich kroków moich nie liczy?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Jeźlim chodził w kłamstwie, a spieszyła się na zdradę noga moja:
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
Niech mię zważy na wadze sprawiedliwej, a niech Bóg pozna szczerość moję.
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Jeźliż ustąpiła noga moja z drogi, a za oczyma memi szłoli serce moje, i do rąk moich jeźliż przylgnęła jaka zmaza:
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
Tedy niechże ja sieję, a inszy niech pożywa, a moje latorośle niech będą wykorzenione.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Jeźli zwiedzione jest serce moje do niewiasty, i jeźlim czyhał u drzwi przyjaciela mego:
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
Niechajże mele innemu żona moja, a niechaj się nad nią inni schylają.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Boć to jest sprosny występek, a nieprawość osądzenia godna,
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
Gdyż ten ogień aż do zatracenia pożera, a dochody moje wszystkie wykorzenić może.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Jeźlim stronił od sądu z sługą moim, albo z służebnicą moją, gdy ze mną sprzeczkę mieli,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
(Bo cóżbym czynił, gdyby powstał Bóg? albo gdyby pytał, cobym mu odpowiedział?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Izaż nie ten, który mię w żywocie uczynił, nie uczynił też i onego? a nie onże nas sam w żywocie wykształtował?)
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Jeźliżem odmówił ubogim, czego chcieli, a oczy wdowy jeźliżem zasmucił;
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
Jeźliżem jadł sztuczkę swoję sam, a nie jadała i sierota z niej;
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
(Albowiem sierota z młodości mojej rosła ze mną, jako u ojca; a jakom wyszedł z żywota matki mojej, byłem wdowie za wodza.)
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Jeźliżem widział kogo ginącego dla tego, że szaty nie miał, a nie dałem żebrakowi odzienia;
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
Jeźliże mi nie błogosławiły biodra jego, że się wełną owiec moich zagrzał;
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
Jeźliżem podniósł przeciwko sierocie rękę swoję, gdym widział w bramie pomoc moję:
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
Tedy niech odpadnie łopatka moja od plec swych, a ramię moje z stawu swego niech wytracone będzie.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Albowiem lękałem się skruszenia od Boga, a przed jego zacnością nie mógłbym się ostać.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Jeźlim pokładał w złocie nadzieję moję, a do bryły złota mawiałem: Tyś ufanie moje;
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
Jeźlim się weselił z wielu bogactw moich, a iż wiele nabyła ręka moja;
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
Jeźlim patrzał na światłość słońca, gdy świeciło, a na miesiąc, gdy wspaniało chodził;
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
I dało się uwieść potajemnie serce moje, a całowały rękę moję usta moje:
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
I toćby była nieprawość osądzenia godna; bobym się tem zaprzał Boga z wysokości.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Jeźliżem się weselił z upadku nienawidzącego mię, a jeźlim się cieszył, gdy mu się źle powodziło.
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
(I owszem nie dałem zgrzeszyć ustom moim, abym miał żądać przeklęstwa duszy jego.)
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Azaż nie mawiali domownicy moi: Oby nam kto dał mięsa tego, nie możemy się i najeść?
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Bo gość nie nocował na dworze, a drzwi moje otwierałem podróżnemu.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Jeźlim zakrywał, jako ludzie zwykli, przestępstwa moje, i chowałem w skrytości mojej nieprawość moję;
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
I choćbym był mógł potłumić zgraję wielką, jednak i najpodlejszy z domu ustraszył mię; przetożem milczał, i nie wychodziłem ze drzwi.
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
Obym miał kogo, coby mię wysłuchał; ale oto ten jest znak mój, że Wszechmogący sam odpowie za mię, i księga, którą napisał przeciwnik mój.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Czylibym jej na ramieniu swojem nie nosił? a nie przywiązałbym jej sobie miasto korony?
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Liczbę kroków moich oznajmiłbym mu; jako do książęcia przystąpiłbym do niego.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Jeźliż przeciw mnie ziemia moja wołała, a jeźliże z nią społem zagony jej płakały;
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
Jeźliżem pożytków jej używał bez pieniędzy, i jeźlim do wzdychania przywodził dzierżawców jej:
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
Miasto pszenicy niech wznijdzie oset, a miasto jęczmienia kąkol. Tu się skończyły słowa Ijobowe.

< Ayubu 31 >