< Ayubu 31 >
1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Ka mit ni lawkkamnae a sak, Bang kecu dawk maw tangla hah ka mit ni a khet han.
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Hatdawkvah, lathueng lae Cathut koehoi ka coe hane hoi, Athakasaipounge koehoi a parâw e teh bangmaw.
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Tamikathoutnaw raphoe teh, payonpakainae ka sak e naw rawkphainae nahoehmaw.
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Ama ni ka lamthung hah a hmu teh, ka khokhnuk pueng hai be a touk nahoehmaw.
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Kalan hoeh e lah ka hring pawiteh, hoeh pawiteh, dumyennae hoi ka khok a hue rang pawiteh,
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
Kânging e yawcu khingnae hoi na khing haw, Cathut ni ka lannae hah a panue thai han.
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Ka pahni ni lamthung phen boipawiteh, ka mit hoi ka hmu e patetlah lungthin ka tawn pawiteh, ka kut dawk ka tamang e kâbet pawiteh,
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
Cati na tu sak haw, ayâ louk ni cat naseh, ka a hane be phawng naseh.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Napui ni ka lungthin na pasawt payon pawiteh, ka imri e takhang arulahoi ka tuet pawiteh,
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
ka yu ni ayâ hane cakang phawm naseh. Ayâ ni ipkhai naseh.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Bangkongtetpawiteh, hot teh kathoute lah awm vaiteh, lawkcengnae koe tâcokhai hanelah kamcu e payonnae lah ao han.
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
Bangkongtetpawiteh, raphoe hanelah hmai ni a kak e lah ao han, Ka tawn e abuemlah be kahmat e lah ao han.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Ka sannu sanpanaw ni kai koe a phuenang awh navah, noutna laipalah kaawm pawiteh,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
BAWIPA a thaw torei teh, kai ni bangmaw ka sak han. Na toun navah bangtelamaw ka pato han.
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Von thung vah kai ka sak e ni, ahnimouh hai sak hoehnamaw, ama ni manu e von thung rei na sak hoehnamaw.
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Karoedengnaw, e a ngainae hah poe laipalah kaawm pawiteh, lahmainaw lung ka pout sak pawiteh,
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
naranaw hah canei hane rei laipalah, kama dueng ouk ka cat pawiteh,
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
Hateiteh, ahni hah ka nawca hoi a na pa patetlah ka okhai, anu e von thung hoi lahmai patetlah ka khetyawt toe.
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Tami bangpatet hai hnicu laipalah kadout e hoi, tami karoedengnaw kâkhu han ka tawn hoeh e ka hmawt boipawiteh,
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
A lungthin hoi kai yawhawi na poe hoeh teh, ka tumuen hoi phu ka bet sak hoehpawiteh,
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
longkha koe e kabawpnae ka hmu torei teh, naranaw taranlahoi ka kut ka dâw pawiteh,
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
ka kut heh ka loung dawk hoi kârakhing naseh, ka lounghrunaw hah kâkhoe naseh.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Bangkongtetpawiteh, Cathut koehoi rawkphainae teh, kai hanelah taki a tho poung, bangkongtetpawiteh, a lentoenae teh ka khang thai mahoeh.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Sui hah ngaihawinae hoi ka sak teh, nang teh ka lungmawngnae doeh, telah suikathoung koe ka dei boipawiteh,
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
ka kut hoi ka tawk e ni moikapap a hmu teh, ka tawntanae a len poung dawkvah, lunghawinae ka tawn boipawiteh,
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
kanî a sei torei ka pouk teh, a angnae hoi ka cet e thapa hah a lawkpui lah ka pouk teh,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
hottelah ka lungthin hah arulahoi a pasawt teh, ka pahni ni ka kut pahnuem pawiteh,
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
het haiyah lawkcengnae hmuen koe phakhai han kamcu e payonnae doeh. Bangkongtetpawiteh, lathueng la kaawm e Cathut hah pahnawt e lah ao.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Ka hmuhma e lathueng vah, rawkphainae a pha navah, ka lunghawi teh, a lathueng vah kathout e ka hmu navah, kai kâoup pawiteh,
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
Ka pahni ni yonnae dawk thoseh, a hringnae hah thoebo hane kâpoe hanelah ka pasoung hoeh e thoseh,
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Lukkareiim dawk taminaw ni a teng vah kaawm e apimaw von ka hlam e kaawm boi,
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Hateiteh, imyin ni lam vah roe boi hoeh, Bangkongtetpawiteh, kahlawng ka cet naw hanelah ka im vah tho ouk ka paawng pouh.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Adam patetlah kâtapoenae hah ka ramuk teh, ka payonpakainae hah ka lungtabue thung ka hrawk pawiteh,
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
Tamimaya a pap poung dawkvah, ka taki teh ka imthungnaw dudamnae ka taki kecu dawkvah, duem ka o e hoi alawilah tâco thai hoeh e lah kaawm pawiteh,
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
Oe, kapanuekkhaikung buet tabang awm haw pawiteh, khenhaw! hetteh kaie kutnout doeh, Athakasaipounge ni, na pato haw pawiteh, kai na katarannaw ni cauk dawk thut haw pawiteh,
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Ka loung dawk hoi roeroe ka sin vaiteh, bawilukhung patetlah ka kâmuk han ei.
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Ka khokhnuknaw pueng hai ama koe ka pâpho han, bawi patetlah ama teh ka hnai han ei.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Ka ram ni kai taranlahoi a hram teh, laikawk kongnaw ni cungtalah khui awh pawiteh,
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
aphu poe laipalah a pawnaw hah ka ca teh, katawnkungnaw hringnae sung sak e lah kaawm boipawiteh,
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
hottelah cang yueng lah pâkhing paw naseh, Catun yueng lah phovainaw paw naseh telah a ti, Job e lawk a pâpout toe.