< Ayubu 31 >

1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Keiman kamit teni toh kigahna kasem in khangdong numei chu jon lunga vet lou dingin,
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Ijeh inem itile chunga Pathen chun eiho ipi dinga eilhen u ham? Chungsang a um hatchungnung pa a konna goulo ding chu ipi ham?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Migiloute dinga vangsetna hilou hija chule thilphalou bolte dinga vangset umtah dinmun chu hilou ham?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Pathen in kabol katoh jouse amulou hija chuleh kakalse jat jong ahet hilou ham?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Mikhat tou koma jou kasei khah a chuleh mikhat tou kalhep khah em?
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
Thudih kitena chun Pathen in eitetoh hen, ijeh inem itile aman kalung thenna hi ahet ahi.
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
Alamlhah a konna ahilouva ijem tia kamu ji ho a kalungthim jon lung ngaichatna kanei khah a ahiloule chonsetna dang khat a themmona kanei khah a ahile,
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
Hiti chun mikhat touvin hange mim kaphu na ana nejeng hen, kaphu doh chengse abonchan kibotdoh soh jeng hen.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Ijem tia kalungthim in numei khat tou alheplhah a ahiloule ka inheng pa jinu jon lunga kavet khah a ahile,
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
Chuti chun kajinu jong pasal dang ji hijeng hen, pasal dang khat in luppi jeng hen.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Ijeh inem itile jon lung put hi jachat umtah chonset ahi, hiche dandih louva chon ho chu gimbol dinga lha ahi.
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
Hichu damun lampi lhung keija meiyin akah tobang ahin, kanei jouse kamang hel ding ahi.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Ijemtia kasohpa ham kasoh numei adih louva kabolla ahileh amahon akiphin nau kakoma ahinlhut teng uleh,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
Pathen chu iti kakimaito pi ding hitam? Aman thu eihin doh teng ipi kasei tadem?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Ajeh chu Pathen in kei leh kasoh te kaniuva eisem kop u ahi.
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
Vaichate panpi ding kada khah a ahiloule meithai ho kinepna kasuh keh peh khah em?
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
Ka anneh chunga kachip khah a chaga pabeite toh nehkhom ding kada khah em?
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
Ahipoi, mipa khat bangin, kaneo laiya pat in chagate kahin hoitup in chule kahinkho lhumin meithaite hoitup nan kahin mange.
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Itih lai hijongle chenna ding neilou ponbeija umho chule von ding neilou gentheiho kamu tengle
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
Akisillum diuva samul pon kapeh ji jeh a eipachat jiu hilou ham?
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
Thutanpa kalanga apan nadinga chaga khat douna a kakhut kadop khah a ahile,
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
Hiti chun kalengkou aumna a konin kisatlha jeng hen, kaban jang jong akisuhto na a konin kisatlha jeng hen.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Hichu Pathen thutanna kimaitopi sangin phajonte, ijemtia oupe Pathen chun einan chahkheh a ahile kinepna ipi kanei ding ham?
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Keiman katahsanna summa kakoi khah a ahile, ahiloule kasana a hi kakison khah a ahile,
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
Kanei kagou jouse leh kakhol khom jouse jeh a kipah a kahile,
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
Vantham jol ho a vahpel a vah nisa leh lha alampia chesuh khu kavet a,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
Chuleh aguh a kalungthim kalheplhah a amaho houna kaga galchop khah a ahile,
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
Achuti tah a ahile thutan vaihom hon eigim bol uhen, chuti chu ahi tah leh van Pathen thusei kangaipeh lou hiding tina ahi.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
Kamelma techu manthah nan ahin phah tenga ahiloule alampiuva hahsatna ahung tengle, hetnom ten tena aum jeh uva kipah kahile,
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
Ahipoi, keiman mikhat tou kaspset a, ahiloule phulah ding kasei kha pon, hitobang chonsetna hi kabol khapoi.
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
Kasoh pan jong adangho chu gilkel in kachesah tai tin asei khapoi.
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Hetkhah lou mi jong kakihei mangsan kha pon, ahinlah mijouse din kot kahonpeh ji bouve.
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Midangho banga ken kachonsetna selmang ding kagot a, kasuhkhel kalung thima ka imden khah ham?
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
Mipiho kakichatna ahiloule kikhop khom naho kadeimo a hiche ho jeh a chu thipbeh a insunga kaum den khah ham?
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
Mikhat tou beh in kathusei eingai peh hen lang hileh ven kakihonna dinga kamin soi kakai ding ahi. Hatchungnungpa chun eidonbut hen lang eiheh pan kei douna thu sundoh hen.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Keiman themmo eichan sah nau chu kiloupi sah tah a kaki maitopi ding lallukhuh banga kakikhuh ding ahi.
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Ijeh inem itile keiman kathilbol adihtah chu kaseipeh ding ahin, ama masanga chu leng chapate banga kahung ding ahi.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Kagam in themmo eichansah khah tah a tucha maha jouse kitoh tah a ahung ka soh keijuva,
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
Ahilouva achang leh mim kana guh khah a ahiloule anei ho kana tha khah tah a ahile,
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
Chuti chun gehu khellin ling leh khau agama chun keh henlang, chang khellin hampa keh hen. Job thusei ho akichaitai.

< Ayubu 31 >