< Ayubu 30 >

1 Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
А сада смеју ми се млађи од мене, којима отаца не бих хтео метнути са псима стада свог.
2 Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
А на шта би ми и била сила руку њихових? У њима беше пропала старост.
3 Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
Од сиромаштва и глади самоћаваху бежећи од сува, мрачна, пуста и опустошена места;
4 Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
Који браху лободу по честама, и смреково корење беше им храна.
5 Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
Између људи беху изгоњени и викаше се за њима као за лупежом.
6 Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
Живљаху по страшним увалама, по јамама у земљи и у камену.
7 Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
По грмовима рикаху, под трњем се скупљаху.
8 Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
Беху људи никакви и без имена, мање вредни него земља.
9 Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
И њима сам сада песма, и постах им прича.
10 Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
Гаде се на ме, иду далеко од мене и не устежу се пљувати ми у лице.
11 Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
Јер је Бог одапео моју тетиву и муке ми задао те збацише узду преда мном.
12 Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
С десне стране устајаху момци, поткидаху ми ноге, и насипају пут к мени да ме упропасте.
13 Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
Раскопаше моју стазу, умножише ми муке, не треба нико да им помаже.
14 Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
Као широким проломом навиру, и наваљују преко развалина.
15 Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
Страхоте навалише на ме, и као ветар терају душу моју, и као облак прође срећа моја.
16 Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
И сада се душа моја разлива у мени, стигоше ме дани мучни.
17 Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
Ноћу пробада ми кости у мени, и жиле моје не одмарају се.
18 Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
Од тешке силе променило се одело моје, и као огрлица у кошуље моје стеже ме.
19 Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
Бацио ме је у блато, те сам као прах и пепео.
20 Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
Вичем к Теби, а Ти ме не слушаш; стојим пред Тобом, а Ти не гледаш на ме.
21 Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
Претворио си ми се у љута непријатеља; силом руке своје супротиш ми се.
22 Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
Подижеш ме у ветар, посађујеш ме на њ, и растапаш у мени све добро.
23 Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
Јер знам да ћеш ме одвести на смрт и у дом одређени свима живима.
24 Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
Али неће пружити руке своје у гроб; кад их стане потирати, они неће викати.
25 Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
Нисам ли плакао ради оног који беше у злу? Није ли душа моја жалосна бивала ради убогог?
26 Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
Кад се добру надах, дође ми зло; и кад се надах светлости, дође мрак.
27 Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
Утроба је моја узаврела, и не може да се умири, задесише ме дани мучни.
28 Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
Ходим црн, не од сунца, устајем и вичем у збору.
29 Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
Брат постах змајевима и друг совама.
30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
Поцрнела је кожа на мени и кости моје посахнуше од жеге.
31 Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.
Гусле се моје претворише у запевку, и свирала моја у плач.

< Ayubu 30 >