< Ayubu 30 >

1 Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
Hatei, atuteh kai hlak ka camo e naw ni Kai na pathoe awh. A napanaw hah kai ni ka panuet teh, kaie tuhu ka ring e uinaw koe patenghai bawk van hoeh.
2 Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
A thaonae hah kai hanelah bangmaw cungkeinae kaawm. A thayung tawn awh hoeh toe.
3 Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
Takangnae hoi voutthoup dawk a kamsoe awh teh, kahrawngum kingdinae hmuen koe tang a yawng awh.
4 Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
Pho um e angmai hna a la awh teh, samphokung e a tangpha hah rawca hanelah a tai awh.
5 Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
Ahnimouh teh, tami koehoi pâlei awh teh, tamru patetlah a hramsin awh.
6 Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
Tangkom thung hoi lungngoum thung o hanelah doeh ao awh. Talai hoi talung kâko dawk ao awh.
7 Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
Caprapum vah a hram awh teh, pâkhingum vah a tabo awh.
8 Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
Ahnimouh teh tamipathu e canaw doeh. Bang pato patang hoeh e canaw doeh. Ram thung hoi hrek e naw doeh.
9 Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
Atu teh la lah na sak awh hanelah ka o toe. Na pathoe e lah ka o toe.
10 Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
Na panuet awh teh kai hoi kâhlat lah na o awh. Ka minhmai na tamthawi awh.
11 Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
Bangkongtetpawiteh, lirui hah a rasu awh teh, na ka pacekpahlek awh. Ka hmalah kammoumrui a rasu awh.
12 Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
Kaie aranglah nawsainaw a kangdue teh, ka khok hah a phen awh. A rawkphainae lamthung hah kai taranlahoi a sak awh.
13 Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
Ka lamthung hah a raphoe awh. Kai ka tâlaw nahanelah a kâyawm awh. Ahnimouh kâhruetcuet ka poe hane apihai awm hoeh.
14 Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
Ka kaw poung e kâko dawk hoi a tho awh teh, ningkatim rahim vah na kalup awh.
15 Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
Takithopoung e ka lathueng vah a pha. Bari lah ka onae hah kahlî patetlah a pâlei awh. Ka tawn e naw hah tâmai patetlah a kahma.
16 Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
Ka kângairunae ni ka hringnae teh a rabawk toe. Ka khangnae hninnaw ni khak na kuet.
17 Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
Karum lah ka hru hah koung a thut teh, ka tharui patawnae ni roum thai hoeh.
18 Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
Ka patawpoung e ni hnicu hoi kayo e patetlah na kayo teh, angki lahuen patetlah na katek.
19 Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
Tangdong dawk na tâkhawng teh, hraba hoi vaiphu patetlah ka o toe.
20 Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
Nama koe ka hram, hateiteh, na pato hoeh. Ka kangdue teh na khet.
21 Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
Hatei, kai hanelah ka pahngawpahrak e lah na o. Na kut thasainae ni na taran.
22 Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
Kahlî dawk na tawm teh, a lathueng vah na kâcui sak.
23 Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
Bangkongtetpawiteh, nama ni duenae dawk na ceikhai hane hah ka panue. Hringnae katawnnaw pueng hanelah, na pouk pouh tangcoung e im dawkvah.
24 Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
BAWIPA ni a kut a dâw torei teh, a kâhei nakunghai, banglah tho hoeh toe. A raphoe torei teh, a hram nakunghai hawinae awm hoeh toe.
25 Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
Runae ka kâhmonaw hanlah ouk ka ka nahoehmaw. Karoedengnaw hanlah lungreithai hoi kaawm boihoeh maw.
26 Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
Hateiteh, hawinae ka tawng navah, hno kahawihoehe hah ka lathueng vah a pha. Angnae ka ring navah hmonae a pha.
27 Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
Ka lungthin a tâsue teh roum thai hoeh. Ka khangnae hninnaw ni na tho sin.
28 Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
Panuinae koelah tho hoeh niteh, lungmathoe koelah ka cei. Kamkhuengnaw rahak vah, ka kangdue teh, kabawpnae ka hei teh ka hram.
29 Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
Kahrawnguinaw e hmaunawngha lah ka o. Kalauk tavanaw hoi huiko lah ka o.
30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
Ka vuen teh hoehoe a tamang teh kai koehoi a bo, Ka hrunaw teh puenghoi a kâan
31 Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.
Ka ratoung teh ka lungmathoenae lah a coung, ka tamawi teh kâlawk lah a coung.

< Ayubu 30 >