< Ayubu 30 >

1 Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
Tedae a kum la kai lakah aka noe long khaw, kai taengah luem uh coeng. Te rhoek kah a napa pataeng ka boiva kah ui taengah khueh ham ka hnawt lah mako.
2 Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
Amih kut dongkah thadueng khaw kai taengah metlam a om? Amih te a hminkhah lamni a paltham.
3 Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
Vaitahnah neh khokha rhamling lamkah, pumhong loh hlaem vaengah, khohaeng neh imrhong kah rhamrhae te a cilh.
4 Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
Tangpuem dongkah baekkoi te a hlaek uh tih, a buh la hlingcet yung a khueh.
5 Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
A nam lamloh a haek uh tih, amih taengah hlanghuen bangla a o uh.
6 Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
Soklong cakhom kah laipi neh thaelsawk khui ah kho a sak.
7 Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
Tangpuem khuiah pang uh tih, lota hmuiah poem uh.
8 Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
Aka ang ca rhoek neh ming mueh ca rhoek ni khohmuen lamloh a hawt uh.
9 Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
Te dongah amih kah rhotoeng la ka om coeng tih, amih taengah ol la ka om.
10 Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
Kai aka tuei rhoek tah kai lamloh lakhla uh tih, ka mikhmuh ah timtui khaw tuem uh pawh.
11 Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
A lirhui lakah ka lirhui he pawl coeng. Te dongah kai he m'phaep tih, ka mikhmuh ah kamrhui han tueih uh.
12 Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
Bantang kah hlangyoe aka tlai loh ka kho a kalh. Amih kah rhainah caehlong te kai taengah a picai uh.
13 Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
Ka talnah khuiah ka hawn a mak uh tih, amih aka bom pawt khaw hoeikhang uh.
14 Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
A puut aka len bangla ael uh tih, a khohli rhamrhael hmuiah paluet uh.
15 Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
Kai soah mueirhih pai tih, khohli bangla ka moeihoeihnah a hloem vaengah, kai kah khangnah te khomai bangla a yah.
16 Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
Kai lamloh ka hinglu a kingling coeng tih, phacip phabaem khohnin loh kai n'tuuk.
17 Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
Khoyin ah ka rhuh te ka pum dong lamloh a cueh. Kai aka thuek he a dim moenih.
18 Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
Thadueng cungkuem dongah ka pueinak a phuelhthaih tih, ka angkidung te rhawnmoep bangla ka vah.
19 Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
Kai he dikpo khuila n'dong tih, laipi neh hmaiphu bangla n'thuidoek.
20 Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
Na taengah bomnah kam bih dae kai nan doo moenih. Ka pai akhaw kai he nan yakming moenih.
21 Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
Kai soah a muen la na poeh tih, na ban thaa neh kai nan konaeh thil.
22 Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
Kai he khohli dongah nan phueih. Kai nan ngol thil vaengah kai nan paci sak tih, lungming cueihnah a yawn.
23 Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
Mulhing boeih kah tingtunnah im la, dueknah neh kai nan mael sak ham khaw ka ming.
24 Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
A yoethaenah khuiah bombihnah a yaak vaengah, kut aka thueng he lairhok dongah a om moenih.
25 Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
Khohnin a mangkhak dongah ka rhap tih, khodaeng dongah ka hinglu a omdam moenih.
26 Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
A then ka lamtawn vaengah boethae ha pawk. Vangnah te ka ngaiuep vaengah a hmuep ha pai.
27 Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
Ka bung he tlawk tih a kuemsuem moenih. Kai he phacip phabaem khohnin loh n'doe.
28 Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
Khomik a tal dongah maelhmai a hmuep la ka cet. Hlangping neh ka pai tih bomnah ka bih.
29 Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
Pongui kah a manuca neh, tuirhuk vanu kah a hui la ka om.
30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
Ka vin khaw kamah dong lamloh mu tih, ka rhuh khaw kholing neh tlum coeng.
31 Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.
Ka rhotoeng te nguekcoinah la, ka phavi rhah ol la poeh.

< Ayubu 30 >