< Ayubu 3 >
1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
DESPUÉS de esto abrió Job su boca, y maldijo su día.
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
Perezca el día en que yo nací, y la noche que se dijo: Varón es concebido.
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
Sea aquel día sombrío, y Dios no cuide de él desde arriba, ni claridad sobre él resplandezca.
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
Aféenlo tinieblas y sombra de muerte; repose sobre él nublado, que lo haga horrible como caliginoso día.
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
Ocupe la oscuridad aquella noche; no sea contada entre los días del año, ni venga en el número de los meses.
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
¡Oh si fuere aquella noche solitaria, que no viniera canción alguna en ella!
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
Maldíganla los que maldicen al día, los que se aprestan para levantar su llanto.
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
Oscurézcanse las estrellas de su alba; espere la luz, y no venga, ni vea los párpados de la mañana:
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
Por cuanto no cerró las puertas del vientre donde yo estaba, ni escondió de mis ojos la miseria.
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
¿Por qué no morí yo desde la matriz, o fuí traspasado en saliendo del vientre?
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
¿Por qué me previnieron las rodillas? ¿y para qué las tetas que mamase?
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
Pues que ahora yaciera yo, y reposara; durmiera, y entonces tuviera reposo,
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
Con los reyes y con los consejeros de la tierra, que edifican para sí los desiertos;
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
O con los príncipes que poseían el oro, que henchían sus casas de plata.
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
O ¿por qué no fuí escondido como aborto, como los pequeñitos que nunca vieron luz?
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
Allí los impíos dejan el perturbar, y allí descansan los de cansadas fuerzas.
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
Allí asimismo reposan los cautivos; no oyen la voz del exactor.
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
Allí están el chico y el grande; y el siervo libre de su señor.
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
¿Por qué se da luz al trabajado, y vida á los de ánimo en amargura,
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
Que esperan la muerte, y ella no llega, aunque la buscan más que tesoros;
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
Que se alegran sobremanera, y se gozan, cuando hallan el sepulcro?
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
¿[Por qué] al hombre que no sabe por donde vaya, y al cual Dios ha encerrado?
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
Pues antes que mi pan viene mi suspiro; y mis gemidos corren como aguas.
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
Porque el temor que me espantaba me ha venido, y hame acontecido lo que temía.
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
No he tenido paz, no me aseguré, ni me estuve reposado; vínome no obstante turbación.