< Ayubu 3 >
1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
Después de esto abrió Job su boca, y maldijo su día.
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
Perezca el día en que yo fui nacido, y la noche que dijo: Concebido es varón.
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
Aquel día fuera tinieblas, y Dios no curara de él desde arriba, ni claridad resplandeciera sobre él.
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
Ensuciáranle tinieblas y sombra de muerte; reposara sobre él nublado, que le hiciera horrible como día caluroso.
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
A aquella noche ocupara oscuridad, ni fuera contada entre los días del año, ni viniera en el número de los meses.
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
Oh si fuera aquella noche solitaria, que no viniera en ella canción;
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
Maldijéranla los que maldicen al día, los que se aparejan para levantar su llanto.
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
Las estrellas de su alba fueran oscurecidas; esperara la luz, y no viniera; ni viera los párpados de la mañana.
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
Porque no cerró las puertas del vientre donde yo estaba, ni escondió de mis ojos la miseria.
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
¿Por qué no morí yo desde la matriz, y fui traspasado en saliendo del vientre?
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
¿Por qué me previnieron las rodillas, y para qué los pechos que mamase?
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
Porque ahora yaciera y reposara; durmiera, y entonces tuviera reposo,
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
Con los reyes, y con los consejeros de la tierra, que edifican para sí los desiertos;
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
O con los príncipes que poseen el oro, que hinchen sus casas de plata.
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
O ¿ por qué no fui escondido como abortivo, como los pequeñitos que nunca vieron luz?
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
Allí los impíos dejaron el miedo, y allí descansaron los de cansadas fuerzas.
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
Allí también reposaron los cautivos, no oyeron la voz del exactor.
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
Allí está el chico y el grande: allí es el siervo libre de su señor.
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
¿Por qué dio luz al trabajado, y vida a los amargos de ánimo?
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
Que esperan la muerte, y no la hay: y la buscan más que tesoros.
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
Que se alegran de grande alegría, y se gozan cuando hallan el sepulcro.
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
Al hombre que no sabe por donde vaya, y que Dios le encerró.
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
Porque antes que mi pan, viene mi suspiro: y mis gemidos corren como aguas.
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
Porque el temor que me espantaba, me ha venido, y háme acontecido lo que temía.
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
Nunca tuve paz, nunca me sosegué, ni nunca me reposé; y vínome turbación.