< Ayubu 3 >

1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
この後、ヨブは口を開いて、自分の生れた日をのろった。
2 Akasema,
すなわちヨブは言った、
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
「わたしの生れた日は滅びうせよ。『男の子が、胎にやどった』と言った夜もそのようになれ。
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
その日は暗くなるように。神が上からこれを顧みられないように。光がこれを照さないように。
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
やみと暗黒がこれを取りもどすように。雲が、その上にとどまるように。日を暗くする者が、これを脅かすように。
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
その夜は、暗やみが、これを捕えるように。年の日のうちに加わらないように。月の数にもはいらないように。
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
また、その夜は、はらむことのないように。喜びの声がそのうちに聞かれないように。
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
日をのろう者が、これをのろうように。レビヤタンを奮い起すに巧みな者が、これをのろうように。
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
その明けの星は暗くなるように。光を望んでも、得られないように。また、あけぼののまぶたを見ることのないように。
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
これは、わたしの母の胎の戸を閉じず、また悩みをわたしの目に隠さなかったからである。
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
なにゆえ、わたしは胎から出て、死ななかったのか。腹から出たとき息が絶えなかったのか。
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
なにゆえ、ひざが、わたしを受けたのか。なにゆえ、乳ぶさがあって、わたしはそれを吸ったのか。
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
そうしなかったならば、わたしは伏して休み、眠ったであろう。そうすればわたしは安んじており、
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
自分のために荒れ跡を築き直した地の王たち、参議たち、
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
あるいは、こがねを持ち、しろがねを家に満たした君たちと一緒にいたであろう。
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
なにゆえ、わたしは人知れずおりる胎児のごとく、光を見ないみどりごのようでなかったのか。
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
かしこでは悪人も、あばれることをやめ、うみ疲れた者も、休みを得、
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
捕われ人も共に安らかにおり、追い使う者の声を聞かない。
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
小さい者も大きい者もそこにおり、奴隷も、その主人から解き放される。
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
なにゆえ、悩む者に光を賜い、心の苦しむ者に命を賜わったのか。
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
このような人は死を望んでも来ない、これを求めることは隠れた宝を掘るよりも、はなはだしい。
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
彼らは墓を見いだすとき、非常に喜び楽しむのだ。
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
なにゆえ、その道の隠された人に、神が、まがきをめぐらされた人に、光を賜わるのか。
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
わたしの嘆きはわが食物に代って来り、わたしのうめきは水のように流れ出る。
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
わたしの恐れるものが、わたしに臨み、わたしの恐れおののくものが、わが身に及ぶ。
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
わたしは安らかでなく、またおだやかでない。わたしは休みを得ない、ただ悩みのみが来る」。

< Ayubu 3 >