< Ayubu 3 >
1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
Après cela Job ouvrit la bouche
et il maudit son premier jour, disant:
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
Périsse le jour où je suis né et cette nuit où ils dirent: Un homme est conçu.
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
Que cette nuit reste obscure; que d'en haut jamais le Seigneur ne la rappelle; que jamais lueur ne vienne l'éclairer.
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
Que les ténèbres et les ombres de la mort s'en emparent: qu'un sombre tourbillon l'enveloppe; maudits soient ce jour
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
Et cette nuit; que l'obscurité la prenne; qu'elle ne compte pas dans les temps de l'année, et que dans les mois elle ne soit pas comprise.
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
Mais qu'elle ne soit que douleur; qu'on n'y voie jamais joie ni fête.
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
Qu'elle soit maudite de Celui qui fait de ce jour un jour maudit et qui peut maîtriser le grand monstre marin.
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
Que les étoiles de cette nuit soient éclipsées; qu'elle ne cesse point; que la lumière ne lui revienne jamais; qu'elle ne voie plus lever l'astre qui annonce l'aurore.
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
Car cette nuit n'a point clos des portes du ventre de ma mère: elle n'a point détourné de mes yeux la douleur.
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
Pourquoi ne suis-je pas mort dans les entrailles qui m'ont enfanté? Pourquoi ne suis-je pas mort, aussitôt que j'en suis sorti?
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
Pourquoi des genoux m'ont-ils recueilli? Pourquoi ai-je sucé des mamelles?
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
Car, couché, je serais maintenant tranquille; endormi, je me reposerais,
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
Avec les rois arbitres de la terre, qui s'enorgueillissaient de leurs épées;
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
Ou avec les grands qui possédaient beaucoup d'or et comblaient d'argent leurs demeures;
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
Ou comme un fœtus avorté; ou comme les enfants nouveau-nés qui n'ont point vu la lumière.
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
Dans ce lieu-là les impies ont consumé le feu de leur fureur; et ceux dont le corps a été brisé de fatigue ont trouvé le repos.
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
Et, avec eux, la foule qui n'a jamais entendu la voix du collecteur.
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
Et le petit et le grand; et le serviteur qui a redouté son maître.
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
Pourquoi le jour a-t-il été donné à ceux qui sont dans l'amertume; et la vie, aux âmes pleines de douleurs?
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
Ceux-là désirent la mort et ne l'obtiennent pas, semblables à l'homme qui creuse en vain cherchant un trésor,
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
Et que la joie transporte s'il vient à le trouver.
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
La mort est le repos de l'homme, car Dieu l'a éprouvé à son gré.
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
Les gémissements me sont venus avant ma nourriture, et je pleure saisi de crainte.
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
Car ce que j'avais redouté m'a atteint; ce que j'avais pressenti s'est réalisé.
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
Je n'ai point vécu en paix; je n'ai eu ni calme ni repos, et la colère m'est venue.