< Ayubu 3 >

1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
Eso fesuale da baligili, Yoube da ouiya: le esalu amo sia: baoui amola e lalelegei eso amo gagabuli amane sia: i,
2 Akasema,
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
“A: i! Gode! Na lalelegei eso amoga gagabuli sia: ma! Na: mea hagomo ganodini hamobe galu amoga gagabuli sia: ma!
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
Gode, amo eso bu gasilisima. Amo eso bu maedafa bu dawa: loma. Amo esoga hadigi bu mae diga: ma: ma.
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
Amo eso gasi dunasima: ne hamoma. Mu mobi da amo eso hadigi dedeboma: ne hamoma! Amola eso ea diga: be uligilisima.
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
Amo gasi odega dialebe fadegama! Amo gasi odega dialebe bu mae idima: ma.
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
Na: mea hagomo ganodini hamobe gasi, amo da da: i dioi bagade amola hamedei agoane ba: mu da defea.
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
Gabi dawa: su dunu (amo da hanome agoai ohe bagade Lifaiada: ne ouligimusa: dawa: ) ilia da amo gasiga gagabusu aligima: ne sia: mu da defea.
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
Dia gusubia gasumuni ea diga: be amo uligilisima. Amola amo gasi mae hadigima: ne hamoma!
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
Amo gasi da na lalelegemu logo doasiba: le, amo gasiga gagabusu aligima: ne sia: ma. Bai amo gasi da nama bidi hamosu amola se nabasu fawane iasi.
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
Na da na: me hina: hagomoa ganodini bogomu da defea galu. O lalelegesula amogalawane bogomu da defea galu.
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
Na: me da abuliba: le ea masele da: iya na febela: ? Abuliba: le nama dodo iasula: ?
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
Na amogala bogosa ganiaba, na da wali hele esala: loba!
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
Na da hina bagade amola ouligisu dunu amo da musa: hina bagade diasu buga: le gagui, amo defele golai diala: loba.
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
Na da hina bagade manolali amo da ilia diasu silifa amola gouli amoga nabalesi, amo defele golai diala: loba.
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
O na da daba: me asi mano agoai golai diala: loba.
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
Bogoi uli dogoi ganodini, wadela: i hamosu dunu da wadela: le hame hamosa. Amola hawa: hamonana helei dunu ilia da hawa: hamosu fisili, helefisa.
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
Bogoi uli dogoi ganodini sali dunu ili amolawane da olofosu ba: sa. Amogawi ouligisu dunu da ilima hame halagala: sa.
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
Amogawi, dunu huluane bogogia: i dialebe ba: sa. Mimogo dunu amola asaboi dunu huluanedafa da bogoi uli dogoiga doaga: le, dialebe. Udigili hawa: hamosu dunu da ilia udigili hawa: hamosu amoga fisiagai agoane ba: sa.
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
Dia da abuliba: le, dunu se bagade nabawane esaloma: ne, ilia logo doasisala: ? Abuliba: le, da: i dioi bagade dunuma hadigi iaha?
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
Ilia da bogoma: ne ouligisa, be bogosu da ilima hame doaga: sa. Ilia da osobo bagade noga: idafa liligi hame hanai, bogoi uli dogoi fawane hanai gala.
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
Ilia da bogole, uli dogoiba: le fawane hahawane ba: sa.
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
Gode da ilima fa: no misunu hou wamolegesa. Amola ili mae hobeama: ne, E da ili sisiga: sa.
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
Na da ha: i mae nawane, unuma: ne fawane dinana. Na da gogonomonanusu da yolemu hamedei gala.
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
Liligi huluane amoga na beda: be da dafawane hamosa.
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
Na olofosu amola helefisu hamedafa dawa: , amola nama bidi hamosu da yolemu hame ba: sa.”

< Ayubu 3 >