< Ayubu 29 >
1 Ayubu akaendelea na kusema,
Y Job nuevamente tomó la palabra y dijo:
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
¡Si pudiera volver a ser como estaba en los meses pasados, en los días en que Dios me estaba cuidando!
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
Cuando su luz brillaba sobre mi cabeza, y cuando por su luz podía andar en la oscuridad.
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
Cuando yo estaba en los días de mi juventud, cuando mi tienda fue cubierta por la mano de Dios;
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
Cuando él Todopoderoso estaba todavía conmigo, y mis hijos me rodeaban;
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
Cuando mis pies se lavaron con leche, y ríos de aceite fluían de la roca para mí.
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
Cuando salía a la puerta, para subir al pueblo y tomar asiento en el lugar público.
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
Los jóvenes me vieron y se escondían, y los ancianos se levantaron de sus asientos;
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Los gobernantes se callaron, y se pusieron las manos en la boca;
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
Los jefes bajaron su voz, y sus lenguas se les pegaba al paladar de sus bocas.
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
Porque cuando llegó a sus oídos, los hombres dijeron que yo era verdaderamente feliz; Y cuando vieron sus ojos, me dieron testimonio;
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
Porque yo era un salvador de los pobres cuando él clamaba por ayuda, y por huérfano que no tenía ayuda.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
La bendición de aquel que estaba cerca de la destrucción vino sobre mí, y puse una canción de alegría en el corazón de la viuda.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Me puse la justicia como mi ropa, y estaba llena de ella; Las decisiones correctas fueron para mí una bata y un tocado.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
Yo era ojos para los ciegos, y pies para el que no tenía poder para caminar.
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
Yo era un padre para los pobres, examinaba la causa que no conocía.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
Por mí se rompieron los grandes dientes del malvado, y le hice renunciar a lo que había quitado violentamente.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
Entonces dije: Terminaré con mis hijos a mi alrededor, mis días serán como la arena en número;
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Mi raíz estará abierta a las aguas, y él rocío de la noche estará en mis ramas,
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Mi gloria será siempre nueva, y mi arco se renueva fácilmente en mi mano.
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
Los hombres me escucharon, esperando y guardando silencio para mis sugerencias.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
Después de haber dicho lo que tenía en mente, se quedaron callados y dejaron que mis palabras se adentren en sus corazones;
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
Me esperaban como a la lluvia, abriendo la boca como a las lluvias de primavera.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
Cuando yo les sonreía, cuando no tenían esperanza, y la luz de mi cara nunca fue nublada por su miedo.
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
Tomé mi lugar como jefe, guiándolos en su camino, y fui como rey entre su ejército cuando estaban tristes yo los consolaba.