< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na kusema,
Y volvió Job a tomar su propósito, y dijo:
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
¡Quién me volviese como en los meses pasados, como en los días cuando Dios me guardaba,
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
cuando hacía resplandecer su candela sobre mi cabeza, a la luz de la cual yo caminaba en la oscuridad;
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
como fue en los días de mi juventud, cuando Dios era familiar en mi tienda;
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
cuando aún el Omnipotente estaba conmigo, y mis hijos alrededor de mí;
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
cuando lavaba yo mis caminos con manteca, y la piedra me derramaba ríos de aceite!
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
Cuando salía a la puerta a juicio, y en la plaza hacía aparejar mi silla,
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
Los jóvenes me veían, y se escondían; y los viejos se levantaban, y estaban en pie.
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Los príncipes detenían sus palabras; ponían la mano sobre su boca;
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
la voz de los principales se ocultaba, y su lengua se pegaba a su paladar;
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
cuando los oídos que me oían, me llamaban bienaventurado, y los ojos que me veían, me daban testimonio.
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
Porque libraba al pobre que gritaba, y al huérfano que carecía de ayudador.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
La bendición del que se iba a perder venía sobre mí; y al corazón de la viuda daba alegría.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Me vestía de justicia, y ella me cubría como un manto; y mi diadema era juicio.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
Yo era ojos al ciego, y pies al cojo.
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
A los menesterosos era padre; y de la causa que no entendía, me informaba con diligencia.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
Y quebraba los colmillos del inicuo, y de sus dientes hacía soltar la presa.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
Y decía yo: En mi nido moriré, y como arena multiplicaré días.
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Mi raíz está abierta junto a las aguas, y en mis ramas permanecerá rocío.
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Mi honra se renueva conmigo, y mi arco se renueva en mi mano.
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
Me oían, y esperaban; y callaban a mi consejo.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
Tras mi palabra no replicaban, mas mi razón destilaba sobre ellos.
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
Me esperaban como a la lluvia, y abrían su boca como a la lluvia tardía.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
Si me reía a ellos, no lo creían; y no abatían la luz de mi rostro.
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
Aprobaba el camino de ellos, y me sentaba en cabecera; y moraba como rey en el ejército, como el que consuela llorosos.

< Ayubu 29 >