< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na kusema,
Ayub melanjutkan uraiannya, katanya,
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
"Kiranya hidupku dapat lagi seperti dahulu, waktu Allah melindungi aku.
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
Aku selalu diberi-Nya pertolongan, diterangi-Nya waktu berjalan dalam kegelapan.
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
Itulah hari-hari kejayaanku, ketika keakraban Allah menaungi rumahku.
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
Waktu itu, Yang Mahakuasa masih mendampingi aku, dan anak-anakku ada di sekelilingku.
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
Ternakku menghasilkan banyak sekali susu. Banyak minyak dihasilkan oleh pohon-pohon zaitunku, meskipun ditanam di tanah berbatu.
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
Jika para tua-tua kota duduk bersama, dan kuambil tempatku di antara mereka,
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
minggirlah orang-orang muda, segera setelah aku dilihat mereka. Juga orang-orang tua bangkit dengan khidmat; untuk memberi hormat.
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Bahkan para pembesar berhenti berkata-kata,
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
dan orang penting pun tidak berbicara.
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
Siapa pun kagum jika mendengar tentang aku; siapa yang melihat aku, memuji jasaku.
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
Sebab, kutolong orang miskin yang minta bantuan; kusokong yatim piatu yang tak punya penunjang.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
Aku dipuji oleh orang yang sangat kesusahan, kutolong para janda sehingga mereka tentram.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Tindakanku jujur tanpa cela; kutegakkan keadilan senantiasa.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
Bagi orang buta, aku menjadi mata; bagi orang lumpuh, aku adalah kakinya.
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
Bagi orang miskin, aku menjadi ayah; bagi orang asing, aku menjadi pembela.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
Tapi kuasa orang kejam, kupatahkan, dan kurban mereka kuselamatkan.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
Harapanku ialah mencapai umur yang tinggi, dan mati dengan tenang di rumahku sendiri.
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Aku seperti pohon yang subur tumbuhnya, akarnya cukup air dan embun membasahi dahannya.
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Aku selalu dipuji semua orang, dan tak pernah kekuatanku berkurang.
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
Orang-orang diam, jika aku memberi nasihat; segala perkataanku mereka dengarkan dengan cermat.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
Sehabis aku bicara, tak ada lagi yang perlu ditambahkan; perkataan meresap seperti tetesan air hujan.
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
Semua orang menyambut kata-kataku dengan gembira, seperti petani menyambut hujan di musim bunga.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
Kutersenyum kepada mereka ketika mereka putus asa; air mukaku yang bahagia menambah semangat mereka.
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
Akulah yang memegang pimpinan, dan mengambil segala keputusan. Kupimpin mereka seperti raja di tengah pasukannya, dan kuhibur mereka dalam kesedihannya.

< Ayubu 29 >