< Ayubu 29 >
1 Ayubu akaendelea na kusema,
Job prenant encore de nouveau sa parabole, dit:
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
Qui m’accordera que je sois comme dans les anciens mois, comme aux jours dans lesquels Dieu me gardait;
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
Quand sa lampe luisait sur ma tête, et qu’à sa lumière je marchais dans les ténèbres;
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
Comme je fus aux jours de ma jeunesse, quand en secret Dieu était dans mon tabernacle;
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
Quand le Tout-Puissant était avec moi, et qu’autour de moi étaient mes serviteurs;
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
Quand je lavais mes pieds dans le beurre, et qu’une pierre répandait pour moi des ruisseaux d’huile;
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
Quand je m’avançais vers la porte de la ville, et que sur la place publique on me préparait un siège?
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
Les jeunes hommes me voyaient, et se retiraient à l’écart; et les vieillards, se levant, se tenaient debout.
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Les princes cessaient de parler, et mettaient un doigt sur leur bouche.
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
Les grands retenaient leur voix, et leur langue s’attachait à leur palais.
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
L’oreille qui m’entendait me proclamait bienheureux, et l’œil qui me voyait me rendait témoignage;
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
Parce que j’avais délivré le pauvre qui criait, et l’orphelin qui n’avait pas de soutien.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
La bénédiction de celui qui allait périr venait sur moi, et je consolais le cœur de la veuve.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Je me suis revêtu de la justice, et l’équité de mes jugements m’a servi comme de vêtement et de diadème.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
J’ai été un œil pour l’aveugle, et un pied pour le boiteux.
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
J’étais le père des pauvres; et l’affaire que je ne connaissais pas, je l’étudiais avec le plus grand soin.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
Je brisais les mâchoires de l’injuste, et j’arrachais la proie de ses dents.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
Et je disais: C’est dans mon petit nid que je mourrai, et comme le palmier, je multiplierai mes jours.
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Ma racine s’étend le long des eaux, et la rosée se reposera sur ma moisson.
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Ma gloire se renouvellera tous les jours et mon arc se fortifiera dans ma main.
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
Ceux qui m’écoutaient attendaient mon sentiment, et, attentifs, ils se tenaient en silence pour recevoir mon avis.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
Ils n’osaient rien ajouter à mes paroles, et mon discours coulait sur eux goutte à goutte.
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
Ils me souhaitaient comme l’eau du ciel, et ils ouvraient leur bouche, comme la terre s’ouvre à la pluie de l’arrière-saison.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
Si quelquefois je leur souriais, ils ne le croyaient pas, et la lumière de mon visage ne tombait pas à terre.
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
Si je voulais aller parmi eux, j’avais la première place; et lorsque j’étais assis comme un roi entouré de son armée, j’étais cependant le consolateur des affligés.