< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na kusema,
And he repeated Job to take up discourse his and he said.
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
Who? will he give me like months of long ago like [the] days [when] God he watched over me.
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
When made shine he lamp his over head my to light his I walked darkness.
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
Just as I was in [the] days of prime my in [the] intimacy of God on tent my.
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
While still [the] Almighty [was] with me [were] around me lads my.
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
When bathed steps my in curd and a rock it poured out beside me streams of oil.
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
When went out I [the] gate on [the] town in the public square I prepared seat my.
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
They saw me young men and they hid themselves and old [men] they rose they stood.
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Chiefs they restrained words and a hand they put to mouth their.
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
[the] voice of Nobles they were hidden and tongue their to palate their it stuck.
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
For an ear it heard and it called blessed me and an eye it saw and it bore witness to me.
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
That I rescued [the] afflicted [who] cried for help and [the] fatherless and [the one whom] not a helper [belonged] to him.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
[the] blessing of [one] about to perish On me it came and [the] heart of a widow I made sing for joy.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Righteousness I put on and it clothed me [was] like a robe and a turban justice my.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
Eyes I was to the blind and [was] feet to the lame I.
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
[was] a father I to the needy [people] and a case at law of [the one whom] not I knew I investigated it.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
And I broke! [the] jaws of [the] unrighteous and from teeth his I threw [the] prey.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
And I said with nest my I will expire and like sand I will increase days.
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Root my [is] opened to water and dew it will remain overnight on branch[es] my.
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Honor my [is] new with me and bow my in hand my it will show newness.
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
To me people listened and they waited and they may be silent for counsel my.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
After word my not they repeated and on them it dropped speech my.
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
And they waited like the rain for me and mouth their they opened wide for spring rain.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
I laughed to them not they believed and [the] light of face my not they made fall!
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
I chose way their so I may sit [as] chief so I may dwell like a king among the troop[s] just as mourners someone comforts.

< Ayubu 29 >