< Ayubu 29 >
1 Ayubu akaendelea na kusema,
Job nastavi svoju besjedu i reče:
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
“O, da mi je prošle proživjet' mjesece, dane one kad je Bog nada mnom bdio,
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
kad mi je nad glavom njegov sjao žižak a kroz mrak me svjetlo njegovo vodilo,
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
kao u dane mojih zrelih jeseni kad s mojim stanom Bog prijateljevaše,
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
kada uz mene još bijaše Svesilni i moji me okruživahu dječaci,
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
kada mi se noge u mlijeku kupahu, a potokom ulja ključaše mi kamen!
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
Kada sam na vrata gradska izlazio i svoju stolicu postavljao na trg,
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
vidjevši me, sklanjali bi se mladići, starci bi ustavši stojeći ostali.
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
Razgovor bi prekidali uglednici i usta bi svoja rukom zatvarali.
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
Glavarima glas bi sasvim utihnuo, za nepce bi im se zalijepio jezik.
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
Tko god me slušao, blaženim me zvao, hvalilo me oko kad bi me vidjelo.
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
Jer, izbavljah bijednog kada je kukao i sirotu ostavljenu bez pomoći.
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
Na meni bješe blagoslov izgubljenih, srcu udovice ja veselje vraćah.
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
Pravdom se ja kao haljinom odjenuh, nepristranost bje mi plaštem i povezom.
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
Bjeh oči slijepcu i bjeh noge bogalju,
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
otac ubogima, zastupnik strancima.
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
Kršio sam zube čovjeku opaku, plijen sam čupao iz njegovih čeljusti.
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
Govorah: 'U svom ću izdahnuti gnijezdu, k'o palma, bezbrojne proživjevši dane.'
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
Korijenje se moje sve do vode pruža, na granama mojim odmara se rosa.
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
Pomlađivat će se svagda slava moja i luk će mi se obnavljati u ruci.'
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
Slušali su željno što ću im kazati i šutjeli da od mene savjet čuju.
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
Na riječi mi ne bi ništa dometali i besjede su mi daždile po njima.
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
Za mnom žudjeli su oni k'o za kišom, otvarali usta k'o za pljuskom ljetnim.
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
Osmijeh moj bijaše njima ohrabrenje; pazili su na vedrinu moga lica.
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
Njima ja sam izabirao putove, kao poglavar ja sam ih predvodio, kao kralj među svojim kad je četama kao onaj koji tješi ojađene.