< Ayubu 28 >
1 Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
for there to/for silver: money exit and place to/for gold to refine
2 Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
iron from dust to take: take and stone to pour bronze
3 Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
end to set: put to/for darkness and to/for all limit he/she/it to search stone darkness and shadow
4 Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
to break through torrent: river from from with to sojourn [the] to forget from foot to languish from human to shake
5 Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
land: soil from her to come out: produce food: bread and underneath: under her to overturn like fire
6 Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
place sapphire stone her and dust gold to/for him
7 Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
path not to know him bird of prey and not to see him eye falcon
8 Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
not to tread him son: type of pride not to advance upon him lion
9 Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
in/on/with flint to send: reach hand: power his to overturn from root mountain: mount
10 Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
in/on/with rock stream to break up/open and all preciousness to see: see eye his
11 Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
from weeping river to saddle/tie and secret her to come out: send light
12 Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
and [the] wisdom from where? to find and where? this place understanding
13 Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
not to know human valuation her and not to find in/on/with land: country/planet [the] alive
14 Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
abyss to say not in/on/with me he/she/it and sea to say nothing with me me
15 Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
not to give: give enclosure underneath: instead her and not to weigh silver: money price her
16 Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
not to weigh in/on/with gold Ophir in/on/with onyx precious and sapphire
17 Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
not to arrange her gold and glass and exchange her article/utensil pure gold
18 Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
coral and crystal not to remember and bag/price wisdom from jewel
19 Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
not to arrange her topaz Cush in/on/with gold pure not to weigh
20 Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
and [the] wisdom from where? to come (in): come and where? this place understanding
21 Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
and to conceal from eye all alive and from bird [the] heaven to hide
22 Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
Abaddon and death to say in/on/with ear our to hear: hear report her
23 Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
God to understand way: direction her and he/she/it to know [obj] place her
24 Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
for he/she/it to/for end [the] land: country/planet to look underneath: under all [the] heaven to see: see
25 Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
to/for to make: offer to/for spirit: breath weight and water to measure in/on/with measure
26 Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
in/on/with to make he to/for rain statute: decree and way: journey to/for lightning voice: thunder
27 Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
then to see: see her and to recount her to establish: establish her and also to search her
28 Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”
and to say to/for man look! fear Lord he/she/it wisdom and to turn aside: turn aside from bad: evil understanding