< Ayubu 28 >

1 Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
Ilia da silifa lamusa: , uli dogosa. Ilia da gouli fofoloma: ne, laluga adoba: sa.
2 Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
Osobo bagade dunu da gula lamusa: , osobo dogosa. Ilia balase lamusa: , igi goudane dadaiyasa.
3 Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
Amo liligi lamusa: , uli dogosu dunu da gasi bagade ganodini hogosa. Ilia da oso gududafa dogone, hogosa. Ilia gasi ganodini igi lamusa: dogosa.
4 Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
Dunu esalebe soge amoga badiliadafa, amola dunu ilia emoga ahoasu logoga badiliadafa, ilia da uli dogosa. Amogawi, ilisu da efe gaguiwane, uli dogoi ganodini hawa: hamonana.
5 Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
Ha: i manu bugi da osoboga heda: sa. Be amo osobo haguduga, liligi huluane da gagoudai dagoi ba: sa.
6 Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
Osobo bagade ea igi ganodini da sa: faia (igi noga: idafa) ba: sa. Osobo gulu ganodini, gouli dialebe ba: sa.
7 Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
Sia sio da gouli uli dogoi ea logo hame ba: sa. Amola buhiba da amo gadodili hagili hame ahoa.
8 Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
Laione wa: me amola eno nimi bagade sigua ohe da amo logoba: le hame ahoa.
9 Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
Uli dogosu dunu da ga: nasidafa igi dogosa. Ilia da goumi ilia baiga dogonana.
10 Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
Ilia da igi magufu ganodini dogosea, ilia da igi noga: idafa ba: sa.
11 Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
Ilia da dodogona ahoana, hano ilia banugumaga doaga: sa. Ilia wamolegei liligi amo hadigiga gaguli maha.
12 Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
Be bagade dawa: su hou ba: ma: ne, ninia habi hogoma: bela: ? Ninia da hou noga: le dawa: digima: ne, habidili hogoma: bela: ?
13 Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
Bagade dawa: su hou da osobo bagade dunu ganodini hame ba: mu. Dunu huluane da bagade dawa: su hou habodayane hamedafa dawa:
14 Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
Dilia da hano wayabo bagade lugududafa amo ganodini, bagade dawa: su hou hame ba: mu.
15 Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
Bagade dawa: su hou amo silifa amola gouliga bidilamu da hamedei.
16 Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
Gouli noga: idafa amola igi noga: idafa, amo da bagade dawa: su hou ea habodayane hame defesa.
17 Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
Bagade dawa: su hou da gouli amola gouliga hamoi faigelei amola ‘galasi’ noga: idafa amo habodayane baligisa.
18 Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
Bagade dawa: su hou da ‘golole’ amola galasi noga: i amola ‘lubi’ igi ilia habodayane baligisa.
19 Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
‘Douba: se’ igi noga: idafa amola gouli noga: idafa da bagade dawa: su hou amo ea habodayane hame defesa.
20 Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
Amaiba: le, bagade dawa: su hou ea bai da habila: ? Ninia da habodane amo dawa: digima: bela: ?
21 Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
Esalebe liligi huluane da amo ba: mu gogolesa. Sio da hagili ahoasea, amo hame ba: sa.
22 Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
Fedege agoane, bogosu amola gugunufinisisu hou da bagade dawa: su hou fonobahadi fawane nababeba: le, noga: le hame dawa:
23 Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
Gode Hi fawane da logodafa dawa: Ea fawane da bagade dawa: su hou dialebe sogebi dawa:
24 Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
Bai Ea fawane da osobo bagade bega: huluane amola liligi huluanedafa mu hagudu dialebe ba: lala.
25 Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
Gode da fo amoga gasa ianoba, amola hano wayabo amoma alalo sedagi ilegeloba, amola gibu ea sa: imu sogebi ilegeloba, amola mu gohona: amoma ilia masunu logo olelelaloba, amogalu E da bagade dawa: su hou ba: lalu, amola ea habodayane adoba: lalu, bagade dawa: su hou da defeadafa sia: i.
26 Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
27 Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
28 Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”
Gode da nini osobo bagade dunuma amane sia: i, “Dilia da bagade dawa: su hou lamusa: dawa: sea, dilia Hina Godema beda: i galawane nodoma! Amo hou dawa: digima: ne, wadela: i hou fisili, Godema sinidigima!”

< Ayubu 28 >