< Ayubu 27 >
1 Ayubu akaendelea kuoengea na kusema,
ヨブまた語を繼ぎていはく
2 “Kama aishivyo Mungu, ameniondolea haki yangu, Mwenyezi, aliyeyafanya machungu maisha yangu,
われに義しき審判を施したまはざる神 わが心魂をなやまし給ふ全能者此神は活く
3 kadili uhai ungalimo ndani yangu uzima wa Mungu upo puani mwangu.
(わが生命なほ全くわれの衷にあり 神の氣息なほわが鼻にあり)
4 Hakika midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu kunena uongo.
わが口は惡を言ず わが舌は謊言を語らじ
5 Sitakiri kwamba mko sahihi; hata nifapo sitakana uadilifu wangu.
我決めて汝等を是とせじ 我に死るまで我が罪なきを言ことを息じ
6 Naishikilia haki yangu na sitaiacha; nafsi yangu haitanisuta kadili ninavyoishi.
われ堅くわが正義を持ちて之を棄じ 我は今まで一日も心に責られし事なし
7 Adui yangu na awe kama mwovu; anayeinuka kunyume changu na awe kama asiye haki.
我に敵する者は惡き者と成り我を攻る者は義からざる者と成るべし
8 Kwani tumaini la mwovu ni nini Mungu anapomwondoa, Mungu anapochukua uhai wake?
邪曲なる者もし神に絶れその魂神を脱とらるるに於ては何の望かあらん
9 Je Mungu atasikiliza kilio chake tabu zinapompat?
かれ艱難に罹る時に神その呼號を聽いれたまはんや
10 Je atajifurahisha katika Mwenyezi na kumwita Mungu nyakati zote
かれ全能者を喜こばんや 常に神を龥んや
11 Nitawafundisha kuhusu uwezo wa Mungu; sitabatilisha mawazo ya Mwenyezi.
われ神の御手を汝等に敎へん 全能者の道を汝等に隱さじ
12 Tazama, ninyi nyote mmeona; kwa nini basi mmeongea yasiyo na maana.
視よ汝等もみな自らこれを觀たり 然るに何ぞ斯愚蒙をきはむるや
13 Hii ndiyo hatima ya waovu mbele za Mungu, urithi wa mtesaji aupokeao kutoka kwa Mwenyezi.
惡き人の神に得る分 強暴の人の全能者より受る業は是なり
14 Ikiwa watoto wake wataongezeka, ni kwa upanga; uzao wake utakuwa na njaa.
その子等蕃れば劍に殺さる その子孫は食物に飽ず
15 Wanaomsalia watauawa kwa tauni, na wajane wao hawatawaombolezea.
その遺れる者は疫病に斃れて埋められ その妻等は哀哭をなさず
16 Japokuwa waovu hurundika mali kama mavumbi,
かれ銀を積こと塵のごとく衣服を備ふること土のごとくなるとも
17 na kukusanya mavazi kama udongo, atakusanya mavazi, lakini mwenye haki atavaa, na wasio na hatia watagawana mali.
その備ふる者は義き人これを着ん またその銀は無辜者これを分ち取ん
18 Hujenga nyumba yake kama buibui, kama kibanda cha muda afanyacho mlinzi.
その建る家は蟲の巣のごとく また番人の造る茅家のごとし
19 Hulala kitandani akiwa tajiri, lakini hataendelea hivyo; na afumbuapo macho, hana kitu.
彼は富る身にて寢臥し重ねて興ること無し また目を開けば即ちその身きえ亡す
20 Vitisho humpata kama maji, dhoruba humwondoa usiku.
懼ろしき事大水のごとく彼に追及き 夜の暴風かれを奪ひ去る
21 Upepo wa mashariki umwondoa, naye huondoka; humwondoa mahali pake.
東風かれを颺げて去り 彼をその處より吹はらふ
22 Humpiga bila kukoma; hujaribu kumnasua katika uwezo wake.
神かれを射て恤まず 彼その手より逃れんともがく
23 Unampigia makofi kwa kejeli; humwondoa mahali pake.
人かれに對ひて手を鳴し 嘲りわらひてその處をいでゆかしむ