< Ayubu 27 >

1 Ayubu akaendelea kuoengea na kusema,
约伯接着说:
2 “Kama aishivyo Mungu, ameniondolea haki yangu, Mwenyezi, aliyeyafanya machungu maisha yangu,
神夺去我的理,全能者使我心中愁苦。 我指着永生的 神起誓:
3 kadili uhai ungalimo ndani yangu uzima wa Mungu upo puani mwangu.
我的生命尚在我里面; 神所赐呼吸之气仍在我的鼻孔内。
4 Hakika midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu kunena uongo.
我的嘴决不说非义之言; 我的舌也不说诡诈之语。
5 Sitakiri kwamba mko sahihi; hata nifapo sitakana uadilifu wangu.
我断不以你们为是; 我至死必不以自己为不正!
6 Naishikilia haki yangu na sitaiacha; nafsi yangu haitanisuta kadili ninavyoishi.
我持定我的义,必不放松; 在世的日子,我心必不责备我。
7 Adui yangu na awe kama mwovu; anayeinuka kunyume changu na awe kama asiye haki.
愿我的仇敌如恶人一样; 愿那起来攻击我的,如不义之人一般。
8 Kwani tumaini la mwovu ni nini Mungu anapomwondoa, Mungu anapochukua uhai wake?
不敬虔的人虽然得利, 神夺取其命的时候还有什么指望呢?
9 Je Mungu atasikiliza kilio chake tabu zinapompat?
患难临到他, 神岂能听他的呼求?
10 Je atajifurahisha katika Mwenyezi na kumwita Mungu nyakati zote
他岂以全能者为乐, 随时求告 神呢?
11 Nitawafundisha kuhusu uwezo wa Mungu; sitabatilisha mawazo ya Mwenyezi.
神的作为,我要指教你们; 全能者所行的,我也不隐瞒。
12 Tazama, ninyi nyote mmeona; kwa nini basi mmeongea yasiyo na maana.
你们自己也都见过, 为何全然变为虚妄呢?
13 Hii ndiyo hatima ya waovu mbele za Mungu, urithi wa mtesaji aupokeao kutoka kwa Mwenyezi.
神为恶人所定的分, 强暴人从全能者所得的报乃是这样:
14 Ikiwa watoto wake wataongezeka, ni kwa upanga; uzao wake utakuwa na njaa.
倘或他的儿女增多,还是被刀所杀; 他的子孙必不得饱食。
15 Wanaomsalia watauawa kwa tauni, na wajane wao hawatawaombolezea.
他所遗留的人必死而埋葬; 他的寡妇也不哀哭。
16 Japokuwa waovu hurundika mali kama mavumbi,
他虽积蓄银子如尘沙, 预备衣服如泥土;
17 na kukusanya mavazi kama udongo, atakusanya mavazi, lakini mwenye haki atavaa, na wasio na hatia watagawana mali.
他只管预备,义人却要穿上; 他的银子,无辜的人要分取。
18 Hujenga nyumba yake kama buibui, kama kibanda cha muda afanyacho mlinzi.
他建造房屋如虫做窝, 又如守望者所搭的棚。
19 Hulala kitandani akiwa tajiri, lakini hataendelea hivyo; na afumbuapo macho, hana kitu.
他虽富足躺卧,却不得收殓, 转眼之间就不在了。
20 Vitisho humpata kama maji, dhoruba humwondoa usiku.
惊恐如波涛将他追上; 暴风在夜间将他刮去。
21 Upepo wa mashariki umwondoa, naye huondoka; humwondoa mahali pake.
东风把他飘去, 又刮他离开本处。
22 Humpiga bila kukoma; hujaribu kumnasua katika uwezo wake.
神要向他射箭,并不留情; 他恨不得逃脱 神的手。
23 Unampigia makofi kwa kejeli; humwondoa mahali pake.
人要向他拍掌, 并要发叱声,使他离开本处。

< Ayubu 27 >