< Ayubu 24 >

1 Kwa nini nyakati za kuwahukumu waovu hazikuwekwa na Mwenyezi? Kwa nini siyo wale waliowaaminifu kwa Mungu huziona siku za hukumu zikija?
ab Omnipotente non sunt abscondita tempora qui autem noverunt eum ignorant dies illius
2 Kuna waovu waondoao alama za mipaka; kuna waovu walichukua kundi kwa nguvu na kulifanya lao.
alii terminos transtulerunt diripuerunt greges et paverunt eos
3 Wanawadhurumu wanyonge punda wao; wanachukua ng'ombe wa mjane kuwa dhamana.
asinum pupillorum abigerunt et abstulerunt pro pignore bovem viduae
4 Wanawaondoa wahitaji katika njia zao kwa lazima; masikini wa dunia yote wanajificha kutoka kwao.
subverterunt pauperum viam et oppresserunt pariter mansuetos terrae
5 Tazama, masikini hawa huenda kufanya kazi kama punda-mwitu mwituni, akitafuta chakula kwa uangalifu; pengine Araba itawapatia chakula kwa ajili ya watoto wao.
alii quasi onagri in deserto egrediuntur ad opus suum vigilantesque ad praedam praeparant panem liberis
6 Masikini huvuna katika mashamba ya wengine usiku; wanakusanya zabibu kidogo kutokana na mapato ya waovu.
agrum non suum demetunt et vineam eius quem vi oppresserunt vindemiant
7 Wana lala bila kujifunika wakati wa usiku; hawana cha kujifunika wakati wa baridi.
nudos dimittunt homines indumenta tollentes quibus non est operimentum in frigore
8 Wanalowanishwa na mvua ya milimani; wanalala pembeni mwa miamba mikubwa kwani hawana makao.
quos imbres montium rigant et non habentes velamen amplexantur lapides
9 Kuna waovu wanaowapokonya yatima katika kifua cha mama zao, na waovu wawachukuao watoto kama dhamana kutoka kwa masikini.
vim fecerunt depraedantes pupillos et vulgum pauperem spoliaverunt
10 Lakini masikini wanatembea uchi; wajapokaa na njaa, wanabebea wengine chakula.
nudis et incedentibus absque vestitu et esurientibus tulerunt spicas
11 Masikini wanazalisha vinono ndani ya nyumba za waovu; wanakanyaga mashinikizo ya waovu, lakini wanakiu.
inter acervos eorum meridiati sunt qui calcatis torcularibus sitiunt
12 Watu wananung'unika mjini; waliojeruhiwa wanaomboleza, lakini Mungu hasikilizi maombi yao.
de civitatibus fecerunt viros gemere et anima vulneratorum clamavit et Deus inultum abire non patitur
13 Baadhi ya waovu hawa wanaiasi nuru; hawafahamu njia zake, wala kukaa katika njia zake.
ipsi fuerunt rebelles luminis nescierunt vias eius nec reversi sunt per semitas illius
14 Muaji huinuka na nuru; huuwa masikini na waitaji; ni kama mwizi wakati wa usiku.
mane primo consurgit homicida interficit egenum et pauperem per noctem vero erit quasi fur
15 Pia, mzinifu hungoja wakati wa usiku; husema, 'Hakuna anionaye.' Hujibadilisha.
oculus adulteri observat caliginem dicens non me videbit oculus et operiet vultum suum
16 Waovu huingia katika nyumba gizani, lakini hujifungia wakati wa mchana; hawajari nuru.
perfodit in tenebris domos sicut in die condixerant sibi et ignoraverunt lucem
17 Kwa kuwa asubuhi kwao wote ni kama giza totoro; wanaamani na vitisho vya giza totoro.
si subito apparuerit aurora arbitrantur umbram mortis et sic in tenebris quasi in luce ambulant
18 Wanapotea polepole, lakini, kama povu juu ya maji; shamba lao limelaaniwa; hakuna anayekwenda kufanya kazi katika mashamba yao ya mizabibu.
levis est super faciem aquae maledicta sit pars eius in terra nec ambulet per viam vinearum
19 Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
ad nimium calorem transeat ab aquis nivium et usque ad inferos peccatum illius (Sheol h7585)
20 Mama yake atamsahau; polepole funza watamuuma; hatakumbukwa tena; kwa hiyo, waovu watavunjika kama mti.
obliviscatur eius misericordia dulcedo illius vermes non sit in recordatione sed conteratur quasi lignum infructuosum
21 Mwovu anamrarua mgumba; hawatendi jema lolote kwa mjane.
pavit enim sterilem et quae non parit et viduae bene non fecit
22 Bado Mungu huwaondoa wenye nguvu kwa nguvu zake; huinuka na kuwadhoofisha.
detraxit fortes in fortitudine sua et cum steterit non credet vitae suae
23 Mungu huwaacha wajione wako salama, na wanalifurahia hilo, lakini anayaangalia maisha yao.
dedit ei Deus locum paenitentiae et ille abutitur eo in superbiam oculi autem eius sunt in viis illius
24 Watu hawa wanatukuzwa; bado, kitambo tu, watapotea; hakika, watashushwa; watakusanywa kama wengine wote; wataondolewa kama sehemu ya juu ya masikio ya nafaka.
elevati sunt ad modicum et non subsistent et humiliabuntur sicut omnia et auferentur et sicut summitates spicarum conterentur
25 Ikiwa sivyo, nani atanithibitisha kuwa mwongo; atakaye fanya maneno yangu kuwa si kitu?”
quod si non est ita quis me potest arguere esse mentitum et ponere ante Deum verba mea

< Ayubu 24 >