< Ayubu 23 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Hoe ty natoi’ Iobe:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
Mafaitse ty toreoko henaneo, taña-miletraletra ty amy hatreontreoko.
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
Ehe te napotako ty hahatreavako Aze, hiheovako mb’am-piambesa’e mb’eo.
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
Halahako aolo’e eo ty amako, vaho hatsafeko veroke ty vavako.
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
Ho azoko ty entañe havale’e ahy, vaho ho rendreko ty hitsara’e.
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
Hatreatré’e ami’ty hara’elahin-kaozara’e hao? Aiy, f’ie ho haoñe’e.
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
Mete hilahatse ama’e ty vañoñe, hamotsorañe ahy nainai’e amy Mpizakakoy.
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
Hehe te mionjon-draho, f’ie tsy eo, midisa-voly, fa tsy isako,
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
ie mitoloñ’an-kavia, tsy treako, ie mitolike mb’àn-kavana, tsy rendreko.
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
Fe arofoana’e ty lala fombàko, ie fa nitsoeha’e le hiboake hoe volamena.
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
Nahafitinoñe i lia’ey ty tomboko, nifaharako i lala’ey vaho tsy nitsile.
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
Tsy nisitahako o nafèm-pivimbi’eo; nahajako o tsaram-palie’eo mandikoatse ty anjara rimako.
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
F’ie tsy roe tsy telo, ia ty hampitolik’ aze? anoe’e iaby ze satrin’arofo’e.
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
Ie ro mañeneke o atolots’ ahikoo: maro ty fanoe’e hoe Izay.
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
Aa le hirevendreven-draho añ’atrefa’e eo; izaho mitsakore, le añeveñako.
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
Ampianifan’ Añahare ty troko, ampangebahebae’ i El-Sadai,
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
Toe tsy naitoañ’ añatrefa’ i ieñey iraho, naho nisaroña’e an-tareheko i fimoromoroñañey.