< Ayubu 23 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
respondens autem Iob dixit
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
nunc quoque in amaritudine est sermo meus et manus plagae meae adgravata est super gemitum meum
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
quis mihi tribuat ut cognoscam et inveniam illum et veniam usque ad solium eius
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
ponam coram eo iudicium et os meum replebo increpationibus
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
ut sciam verba quae mihi respondeat et intellegam quid loquatur mihi
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
nolo multa fortitudine contendat mecum nec magnitudinis suae mole me premat
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
proponat aequitatem contra me et perveniat ad victoriam iudicium meum
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
si ad orientem iero non apparet si ad occidentem non intellegam eum
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
si ad sinistram quid agat non adprehendam eum si me vertam ad dextram non videbo illum
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
ipse vero scit viam meam et probavit me quasi aurum quod per ignem transit
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
vestigia eius secutus est pes meus viam eius custodivi et non declinavi ex ea
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
a mandatis labiorum eius non recessi et in sinu meo abscondi verba oris eius
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
ipse enim solus est et nemo avertere potest cogitationem eius et anima eius quodcumque voluerit hoc facit
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
cum expleverit in me voluntatem suam et alia multa similia praesto sunt ei
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
et idcirco a facie eius turbatus sum et considerans eum timore sollicitor
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
Deus mollivit cor meum et Omnipotens conturbavit me
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
non enim perii propter inminentes tenebras nec faciem meam operuit caligo

< Ayubu 23 >