< Ayubu 23 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Darauf erwidert Job und spricht:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
"Auch heut ist meine Klage bitter; ich lege allen Nachdruck auf mein Seufzen.
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
Ach, daß ich ihn zu finden wüßte, vor seinen Stuhl gelangen könnte
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
und dürfte meine Sache ihm vorlegen und mit Beweisen meinen Mund anfüllen
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
und dürfte seine Antwort hören, vernehmen, was er mir zu sagen weiß!
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
Ob er mit starken Gründen mit mir rechten wollte, ob er in Staunen mich versetzen könnte?
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
Da stünde dann ein braver Mann vor ihm; ich wäre dann für immer meiner Richter ledig.
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
Doch wenn ich ostwärts geh, so läßt er sich nicht finden, und westwärts, so gewahr ich ihn auch nicht.
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
Und wäre er im Norden, ich sähe ihn doch nicht, und böge er nach Süden ab, ich schaute ihn doch nirgends.
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
Mein Weg, auf dem ich stehe, ist ihm wohlbekannt, und prüft er mich, dann würde er wie Gold mich finden.
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
Mein Fuß ging stets in seinen Gleisen; ich wankte nicht von seinem Weg.
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
Von seiner Lippe Lehre wich ich nicht; und seines Mundes Worte hob ich ohnegleichen auf.
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
Er ist nun wahrhaft einzigartig. Wer kann ihm wehren? Was er beschließt, das führt er aus.
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
Er will mein Maß erfüllen, und solcherlei hat er noch viel bei sich.
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
Drum bin ich über ihn erschrocken; mir graut vor ihm, wenn ich dran denke.
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
Gebrochen hat das Herz mir Gott; mit Schrecken hat mich der Allmächtige erfüllt.
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
Denn ob des Dunkels fühle ich mich schon vernichtet, dieweil in Düsterkeit gehüllt ich bin."