< Ayubu 23 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
and to answer Job and to say
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
also [the] day rebellion complaint my hand my to honor: heavy upon sighing my
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
who? to give: if only! to know and to find him to come (in): come till place his
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
to arrange to/for face: before his justice and lip my to fill argument
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
to know speech to answer me and to understand what? to say to/for me
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
in/on/with abundance strength to contend with me me not surely he/she/it to set: consider in/on/with me
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
there upright to rebuke with him and to escape to/for perpetuity from to judge me
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
look! front: forward to go: went and nothing he and back and not to understand to/for him
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
left in/on/with to make: do he and not to see to turn aside right and not to see: see
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
for to know way: conduct with me me to test me like/as gold to come out: come
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
in/on/with step his to grasp foot my way: conduct his to keep: obey and not to stretch
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
commandment lips his and not to remove from statute: portion my to treasure word lip his
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
and he/she/it in/on/with one and who? to return: turn back him and soul: myself his to desire and to make: do
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
for to complete statute: portion my and like/as them many with him
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
upon so from face his to dismay to understand and to dread from him
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
and God be tender heart my and Almighty to dismay me
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
for not to destroy from face: before darkness and from face my to cover darkness

< Ayubu 23 >