< Ayubu 23 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
约伯回答说:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
如今我的哀告还算为悖逆; 我的责罚比我的唉哼还重。
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
惟愿我能知道在哪里可以寻见 神, 能到他的台前,
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
我就在他面前将我的案件陈明, 满口辩白。
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
我必知道他回答我的言语, 明白他向我所说的话。
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
他岂用大能与我争辩吗? 必不这样!他必理会我。
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
在他那里正直人可以与他辩论; 这样,我必永远脱离那审判我的。
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
只是,我往前行,他不在那里, 往后退,也不能见他。
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
他在左边行事,我却不能看见, 在右边隐藏,我也不能见他。
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
然而他知道我所行的路; 他试炼我之后,我必如精金。
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
我脚追随他的步履; 我谨守他的道,并不偏离。
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
他嘴唇的命令,我未曾背弃; 我看重他口中的言语,过于我需用的饮食。
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
只是他心志已定,谁能使他转意呢? 他心里所愿的,就行出来。
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
他向我所定的,就必做成; 这类的事他还有许多。
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
所以我在他面前惊惶; 我思念这事便惧怕他。
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
神使我丧胆; 全能者使我惊惶。
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
我的恐惧不是因为黑暗, 也不是因为幽暗蒙蔽我的脸。

< Ayubu 23 >