< Ayubu 22 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
特曼人厄里法次接著說:
2 Je mtu anaweza kumfaa Mungu “Je mwenye hekima anaweza kufaa kwake.
人為天主能有什麼益處﹖明智人只能於一己有益。
3 Je inafurahisha kwa Mwenyezi ikiwa u mwenye haki? Je ni faida yake ukiyafanya safi maisha yako?
縱然你公正,對全能者有什麼好處﹖縱然你品行齊全,對天主有什麼利益﹖
4 Je ni kwa sababu ya uchaji wako kwake hata akukemee na kukuadhibu?
他豈能因你敬畏之心而責斥你,拉你來聽審﹖
5 Je si kwa sababu ya wingi wa uovu wako? Je hakuna mwisho wa makosa yako?
豈不是因為你罪惡多端,罪過無窮﹖
6 Kwa maana umechukua dhamana kutoka kwa ndugu yako bila sababu; umechukua mavazi ya mtu na kumwacha uchi.
因為你無理地強取了你兄弟的抵押,剝去了人的衣服,使之赤裸;
7 Haukuwapa wenye kiu maji ya kunywea; umewanyima chakula wenye njaa
口渴的人,你沒有給他水喝;饑餓的人,你沒有給他飯吃;
8 japokuwa wewe, mwenye uwezo, uliimiliki nchi, japokuwa wewe, mwenye kuheshimiwa, uliishi ndani yake.
讓強有力的人佔有土地,讓尊貴體面的人住在其中;
9 Umewaacha wajane waondoke bila kitu; umewatesa yatima.
卻使寡婦空手而歸,折斷孤兒的手臂;
10 Kwa hiyo, mabaya yanakuzunguka, na hofu za ghafla zinakusumbua.
因此羅網要四面圍困你,恐嚇突降,使你驚惶。
11 Kuna giza, hata usione; gharika inakufunika.
光明變成黑暗,使你毫無所見;洪水漫漫,將你淹沒。
12 Je Mungu hayupo juu mbinguni? Anaangalia juu ya nyota, jinsi zilivyo juu!
天主豈不是居於高天﹖看,最高的星辰何其高遠﹖
13 Unasema, 'Mungu anajua nini? Je anaweza kuamua kupitia giza totoro?
你曾說過:「天主知道什麼﹖他豈能透過黑雲施行審判﹖
14 Mawingu ni kifuniko chake, hata asituone; anatembea anga la mbinguni.'
雲彩遮蔽著他,使他看不到什麼,而他只在天邊周圍遊行。」
15 Je utayaishi maisha ya zamani walioishi waovu -
你豈要固守惡人所蹈的故轍﹖
16 walioondolewa kabla ya siku zao, ambao misingi yao imeondolewa kama mto,
尚未到時,他們已被攫去,大水沖去了他們的基礎。
17 waliomwambia Mungu, 'Ondoka kwetu'; waliosema, 'Mwenyezi anaweza kututenda nini?
他們曾向天主說:「離開我們! 全能者能為我們作什麼﹖」
18 Hata hivyo bado alizijaza nyumba zao kwa mema; mipango ya waovu iko mbali nami.
他原來是以福利充滿了他們的家,可是惡人的思想離他很遠。
19 Wenye haki wanayaona yawapatayo waovu na kufurahi; wasio na hatia wanawacheka kwa dhihaka.
義人見了就歡樂,無罪者也譏笑他們說:「
20 Wanasema, 'Bila shaka walioinuka kinyume chetu wameondolewa; moto umeteketeza mali zao.'
的確,他們的財富已被消滅,他門所剩餘的皆被火焚毀。」
21 Basi patana na Mungu na uwe na amani naye; kwa njia hiyo, mema yatakujia.
請你與他親善和好,藉此你的幸福必的恢復。
22 Nakusihi, pokea, maelekezo yake; uyatii maneno yake.
請你領受他口中的教訓,將他的話存在心中。
23 Ukimrudia Mwenyezi, utajengwa, ukiacha kutenda uovu makaoni mwako.
如果你歸向全能者,你必興起;你若使邪惡離開你的帳幕,
24 Weka hazina zako mavumbini, dhahabu ya Ofiri kati ya mawe ya vijito,
視金子如塵埃,視敖非爾金如溪石,
25 na Mwenyezi atakuwa hazina zako, fedha ya thamani kwako.
全能者必作為你的精金,作為你的銀堆。
26 Nawe utajifurahisha katika Mwenyezi; utamwangalia Mungu.
那時你必以全能者為喜樂,向天主仰起你的頭來。
27 Utamwomba, naye atakusikiliza; utamtolea nadhiri.
那時你祈求他,他必應允你;你可向他還你的誓願。
28 Lakini pia utatamka lolote, nawe utapewa; nuru itaangaza maishani mwako.
你決定的事,事必成就;光明要照耀你的道路,
29 Mungu humshusha mwenye kiburi, naye humwinua mnyenyekevu.
因為他壓伏驕傲的人,拯救低首下心的人。
30 Atamwokoa asiye na hatia; utaokolewa kupitia usafi wa mikono yako.”
他必解救無罪的人;你若手中清廉,你必獲救。

< Ayubu 22 >