< Ayubu 21 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Eyüp şöyle yanıtladı:
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
“Sözümü dikkatle dinleyin, Bana verdiğiniz avuntu bu olsun.
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
Bırakın ben de konuşayım, Ben konuştuktan sonra alay edin.
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
“Yakınmam insana mı karşı? Niçin sabırsızlanmayayım?
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
Bana bakın da şaşın, Elinizi ağzınıza koyun.
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
Bunu düşündükçe içimi korku sarıyor, Bedenimi titreme alıyor.
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
Kötüler niçin yaşıyor, Yaşlandıkça güçleri artıyor?
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
Çocukları sapasağlam çevrelerinde, Soyları gözlerinin önünde.
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
Evleri güvenlik içinde, korkudan uzak, Tanrı'nın sopası onlara dokunmuyor.
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
Boğalarının çiftleşmesi hiç boşa çıkmaz, İnekleri hep doğurur, hiç düşük yapmaz.
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
Çocuklarını sürü gibi salıverirler, Yavruları oynaşır.
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
Tef ve lir eşliğinde şarkı söyler, Ney sesiyle eğlenirler.
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
Ömürlerini bolluk içinde geçirir, Esenlik içinde ölüler diyarına inerler. (Sheol )
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
Tanrı'ya, ‘Bizden uzak dur!’ derler, ‘Yolunu öğrenmek istemiyoruz.
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
Her Şeye Gücü Yeten kim ki, O'na kulluk edelim? Ne kazancımız olur O'na dua etsek?’
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
Ama zenginlikleri kendi ellerinde değil. Kötülerin öğüdü benden uzak olsun.
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
“Kaç kez kötülerin kandili söndü, Başlarına felaket geldi, Tanrı öfkelendiğinde paylarına düşen kederi verdi?
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
Kaç kez rüzgarın sürüklediği saman gibi, Kasırganın uçurduğu saman çöpü gibi oldular?
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
‘Tanrı babaların cezasını çocuklarına çektirir’ diyorsunuz, Kendilerine çektirsin de bilsinler nasıl olduğunu.
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
Yıkımlarını kendi gözleriyle görsünler, Her Şeye Gücü Yeten'in gazabını içsinler.
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
Çünkü sayılı ayları sona erince Geride bıraktıkları aileleri için niye kaygı çeksinler?
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
“En yüksektekileri bile yargılayan Tanrı'ya Kim akıl öğretebilir?
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
Biri gücünün doruğunda ölür, Büsbütün rahat ve kaygısız.
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
Bedeni iyi beslenmiş, İlikleri dolu.
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
Ötekiyse acı içinde ölür, İyilik nedir hiç tatmamıştır.
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
Toprakta birlikte yatarlar, Üzerlerini kurt kaplar.
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
“Bakın, düşüncelerinizi, Bana zarar vermek için kurduğunuz düzenleri biliyorum.
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
‘Büyük adamın evi nerede?’ diyorsunuz, ‘Kötülerin çadırları nerede?’
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
Yolculara hiç sormadınız mı? Anlattıklarına kulak asmadınız mı?
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
Felaket günü kötü insan esirgenir, Gazap günü ona kurtuluş yolu gösterilir.
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
Kim davranışını onun yüzüne vurur? Kim yaptığının karşılığını ona ödetir?
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
Mezarlığa taşınır, Kabri başında nöbet tutulur.
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
Vadi toprağı tatlı gelir ona, Herkes ardından gider, Önüsıra gidenlerse sayısızdır.
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
“Boş laflarla beni nasıl avutursunuz? Yanıtlarınızdan çıkan tek sonuç yalandır.”