< Ayubu 21 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Giobbe rispose:
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
Ascoltate bene la mia parola e sia questo almeno il conforto che mi date.
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
Tollerate che io parli e, dopo il mio parlare, deridetemi pure.
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
Forse io mi lamento di un uomo? E perché non dovrei perder la pazienza?
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
Statemi attenti e resterete stupiti, mettetevi la mano sulla bocca.
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
Se io ci penso, ne sono turbato e la mia carne è presa da un brivido.
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
Perché vivono i malvagi, invecchiano, anzi sono potenti e gagliardi?
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
La loro prole prospera insieme con essi, i loro rampolli crescono sotto i loro occhi.
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
Le loro case sono tranquille e senza timori; il bastone di Dio non pesa su di loro.
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
Il loro toro feconda e non falla, la vacca partorisce e non abortisce.
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
Mandano fuori, come un gregge, i loro ragazzi e i loro figli saltano in festa.
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
Cantano al suono di timpani e di cetre, si divertono al suono delle zampogne.
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
Finiscono nel benessere i loro giorni e scendono tranquilli negli inferi. (Sheol h7585)
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
Eppure dicevano a Dio: «Allontanati da noi, non vogliamo conoscer le tue vie.
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
Chi è l'Onnipotente, perché dobbiamo servirlo? E che ci giova pregarlo?».
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
Non hanno forse in mano il loro benessere? Il consiglio degli empi non è lungi da lui?
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
Quante volte si spegne la lucerna degli empi, o la sventura piomba su di loro, e infliggerà loro castighi con ira?
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
Diventano essi come paglia di fronte al vento o come pula in preda all'uragano?
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
«Dio serba per i loro figli il suo castigo...». Ma lo faccia pagare piuttosto a lui stesso e lo senta!
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
Veda con i suoi occhi la sua rovina e beva dell'ira dell'Onnipotente!
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
Che cosa gli importa infatti della sua casa dopo di sé, quando il numero dei suoi mesi è finito?
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
S'insegna forse la scienza a Dio, a lui che giudica gli esseri di lassù?
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
Uno muore in piena salute, tutto tranquillo e prospero;
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
i suoi fianchi sono coperti di grasso e il midollo delle sue ossa è ben nutrito.
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
Un altro muore con l'amarezza in cuore senza aver mai gustato il bene.
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
Nella polvere giacciono insieme e i vermi li ricoprono.
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
Ecco, io conosco i vostri pensieri e gli iniqui giudizi che fate contro di me!
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
Infatti, voi dite: «Dov'è la casa del prepotente, dove sono le tende degli empi?».
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
Non avete interrogato quelli che viaggiano? Non potete negare le loro prove,
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
che nel giorno della sciagura è risparmiato il malvagio e nel giorno dell'ira egli la scampa.
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
Chi gli rimprovera in faccia la sua condotta e di quel che ha fatto chi lo ripaga?
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
Egli sarà portato al sepolcro, sul suo tumulo si veglia
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
e gli sono lievi le zolle della tomba. Trae dietro di sé tutti gli uomini e innanzi a sé una folla senza numero.
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
Perché dunque mi consolate invano, mentre delle vostre risposte non resta che inganno?

< Ayubu 21 >