< Ayubu 21 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
and to answer Job and to say
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
to hear: hear to hear: hear speech my and to be this consolation your
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
to lift: bear me and I to speak: speak and after to speak: speak I to mock
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
I to/for man complaint my and if: surely no why? not be short spirit: temper my
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
to turn to(wards) me and be desolate: appalled and to set: put hand upon lip
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
and if to remember and to dismay and to grasp flesh my shuddering
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
why? wicked to live to proceed also to prevail strength
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
seed: children their to establish: establish to/for face their with them and offspring their to/for eye their
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
house: household their peace: well-being from dread and not tribe: staff god upon them
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
cattle his to pass and not to abhor to escape heifer his and not be bereaved
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
to send: depart like/as flock boy their and youth their to skip about [emph?]
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
to lift: bear like/as tambourine and lyre and to rejoice to/for voice: sound pipe
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
(to end: finish *Q(K)*) in/on/with good day their and in/on/with moment hell: Sheol to descend (Sheol h7585)
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
and to say to/for God to turn aside: depart from us and knowledge way: conduct your not to delight in
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
what? Almighty for to serve: minister him and what? to gain for to fall on in/on/with him
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
look! not in/on/with hand their goodness their counsel wicked to remove from me
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
like/as what? lamp wicked to put out and to come (in): come upon them calamity their pain to divide in/on/with face: anger his
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
to be like/as straw to/for face: before spirit: breath and like/as chaff to steal him whirlwind
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
god to treasure to/for son: child his evil: wickedness his to complete to(wards) him and to know
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
to see: see (eye his *Q(K)*) ruin his and from rage Almighty to drink
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
for what? pleasure his in/on/with house: household his after him and number month his to divide
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
to/for God to learn: teach knowledge and he/she/it to exalt to judge
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
this to die in/on/with bone integrity his all his at ease and at ease
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
belly his to fill milk and marrow bone his to water: watering
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
and this to die in/on/with soul bitter and not to eat in/on/with welfare
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
unitedness upon dust to lie down: lay down and worm to cover upon them
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
look! to know plot your and plot upon me to injure
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
for to say where? house: home noble and where? tent tabernacle wicked
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
not to ask to pass way: road and sign: indicator their not to recognize
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
for to/for day calamity to withhold bad: evil to/for day fury to conduct
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
who? to tell upon face his way: conduct his and he/she/it to make: do who? to complete to/for him
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
and he/she/it to/for grave to conduct and upon tomb to watch
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
be sweet to/for him clod torrent: valley and after him all man to draw and to/for face: before his nothing number
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
and how? to be sorry: comfort me vanity and turn your to remain unfaithfulness

< Ayubu 21 >