< Ayubu 21 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Yoube da amane sia: i,
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
Na sia: be nabima! Na da amo dogo denesisu fawane dilima adole ba: sa.
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
Dilia na sia: ma: ne, logo doasima! Amasea, na sia: da dagosea, dilia da hanaiba: le, ba: sola: le gagama!
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
Na sia: ga gegesu da osobo bagade dunu ilima hame. Be na momabo hou da bai bagade gala.
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
Nama ba: ma! Dilia fofogadigi ouiya: le ha: gi nama sosodomu da defea.
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
Na da nama hamoi hou amo bu dawa: sea, na da dawa: su hamedei amola na da yagugusa.
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
Abuliba: le Gode da wadela: i hou hamosu dunu esaloma: ne yolesisala: ? E abuliba: le ili da: i hamone amola bagade gaguiwane esaloma: ne yolesisala: ?
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
Ilia da ilia mano amola ilia aowalali ilia asigilabe ba: musa: sosodo esafulu.
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
Gode da ili diasu amoga gugunufinisisu hou hame iasisa. Ilia da beda: didigisa hame esalumu.
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
Dafawane, ilia bulamagau da galuli amola mae se nabawane mano lalelegesa.
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
Ilia mano da sibi mano defele, hehenaiya hehedela lafiadala.
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
Ilia sani baidama amola fulabosu amo dudududabe amoga gafosa.
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
Ilia olofole agoane esalu, se mae nabawane bogosa. (Sheol h7585)
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
Wadela: i hamosu dunu da Godema ili udigili yolesima: ne sia: sa. Gode da ilia esala hamomu ilegesa. Be ilia amo ilegei dawa: mu hame hanai.
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
Ilia da Godema hawa: hamomu da hamedei liligi agoane dawa: sa. Ilia Godema sia: ne gadosu da ilia hou hame fidima: beyale dawa: lala.
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
Ilia da ilila: gasaga didili hamosa sia: sa. Be na da ilia asigi dawa: su hou amo hame lale gamu.
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
Dilia da wadela: i hamosu dunu afae ea hadigi ha: ba: doi dagoi ba: bela: ? Wadela: i hamosu dunu afae da gugunufinisisu hou ema doaga: be ba: bela: ? Gode da ougiba: le, wadela: i hamosu dunu afae amoma se dabe ibela: ?
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
E da wadela: i hamosu dunu amo gisi foga mini asi defele, ili fulabole fasibala: ? O gulu isuga mini asi defele, ili fulabole fasibala: ?
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
Dilia da amane sia: sa! Gode da mano ea ada wadela: le hamoiba: le, amo manoma se dabe iaha. Hame mabu! Gode da wadela: i hamosu dunu, ilima fawane se dabe imunu da defea. E da ilia wadela: le hamoiba: le, ilima se dabe iaha, amo olelemu da defea.
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
Wadela: i hamosu dunu ilia da ilia hamobeba: le fawane se dabe lamu da defea. Ilia Gode Bagadedafa Ea ougi bagade hou ba: mu da defea.
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
Ninia esalusu da dagosea, ninia mano da hahawane esaloma: bela: le dawa: ma: bela: ?
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
Dunu afae da Gode Ema hou olelema: bela: ? Hame mabu! Gode da dunu amo da baligili gadodafa heda: i, ilima fofada: sa.
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
Dunu mogili da dagumuiwane esalea bogosa. Ilia da hahawane se mae nabawane esalu, amalu bogosa.
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
Mogili ilia da hahawane hame esalu, bogosa. Ilia da esalea amola bogosea, eso huluane hihiwane gala.
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
Be dunu huluane da defele bogole, uli dogosa. Ili huluane da daba: ga dedeboi dagoi ba: sa.
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
Dilia dogo ganodini ougi dialebe, amo na dawa:
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
Dilia da agoane adole ba: sa, ‘Mimogo dunu amo da wadela: le hamosu, amo ea diasu da wali habila: ?’
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
Dilia da lalusu dunu amo bisili sia: sa: ibela: ? Ilia ga asi misini, sia: ne iasu dilia hame nabibala: ?
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
Gode da ougiba: le, se dabe bidi iasea, E da wadela: le hamosu dunuma se dabe hame iaha.
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
Dunu afae da wadela: le hamosu dunuma diwaneya udidimu, o ilia wadela: le hamobeba: le se dabe imunu da hamedafa gala.
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
Dunu eno da ilia bogoi da: i hodo amo bogoi uli dogoiga gaguli ahoasea, dunu osea: idafa da ilima asigiba: le, mogodigili fa: no bobogesa. Amola osobo da ilia da: i da: iya gebewane dialebe ba: sa.
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
Be dilia! Dilia da na dogo denesima: ne, hamedei sia: fawane sia: sa. Dilia nama adole iasu huluane da ogogosu sia: fawane.”

< Ayubu 21 >