< Ayubu 20 >

1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Då svarade Zophar af Naema, och sade:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
Deruppå måste jag svara, och kan icke bida;
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
Och vill gerna höra, ho mig det straffa och lasta skall; ty mins förstånds ande skall svara för mig.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
Vetst du icke, att alltid så tillgånget är, ifrå den tiden menniskorna på jordene varit hafva;
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
Att de ogudaktigas berömmelse står icke länge, och skrymtares glädje varar ett ögnablick?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Om hans höjd än räckte upp i himmelen, och hans hufvud komme intill skyn,
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
Så måste han dock på sistone förgås såsom träck; så att de, som se uppå honom, skola säga: Hvar är han?
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Såsom en dröm förgår, så skall han ej heller funnen varda; och såsom en syn, den om nattena försvinner.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Det öga, som honom sett hafver, det ser honom intet mer; och hans rum skall icke mer se honom.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Hans barn skola tigga gå, och hans hand skall gifva honom vedermödo till löna.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Hans ben skola umgälla hans ungdoms synder; och skola lägga sig i jordene med honom.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
Om än ondskan smakar honom väl uti hans mun, skall hon dock fela honom på hans tungo.
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
Hon skall varda förhållen, och icke tillåten; och skall varda honom förtagen i hans hals.
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
Hans mat skall förvända sig i hans buk uti ormagalla.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
De ägodelar, som han uppsvulgit hafver, måste han åter utspy; och Gud skall drifva dem utu hans buk.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Han skall suga huggormagalla, och ormatunga skall dräpa honom.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Han skall icke få se de strömmar eller vattubäckar, som med hannog och smör flyta.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Han skall arbeta, och intet nyttjat; och hans ägodelar skola varda annars mans, så att han icke skall hafva hugnad utaf dem.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Förty han hafver undertryckt och förlåtit den fattiga; han hafver rifvit till sig hus, de han intet byggt hafver;
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Ty hans buk kunde icke full varda; och skall icke igenom sina kosteliga ägodelar undkomma.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Af hans mat skall intet qvart vara; derföre skola hans goda dagar intet varaktige blifva.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
Om han än öfverflödar, och hafver nog, skall honom dock likväl ångest ske; alla händers möda skall öfver honom komma.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Hans buk skall honom en gång full varda; och han skall sända sina vredes grymhet öfver honom; han skall öfver honom regna låta sina strid.
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Han skall fly för jernharnesk, och kopparbågen skall förjaga honom.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
Ett draget svärd skall gå igenom honom, och svärds blänkande, som honom skall bittert varda, skall med förskräckelse gå öfver honom.
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
Intet mörker är, som honom skyla må; en eld skall förtära honom, den intet uppblåst är; och den som qvar blifver i hans hyddo, honom skall illa gå.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
Himmelen skall uppenbara hans ondsko, och jorden skall sätta sig upp emot honom.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
Hans säd i hans huse skall bortförd varda, förspilld uti hans vredes dag.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Detta är en ogudaktigs menniskos lön när Gudi, och hans ords arf när Gudi.

< Ayubu 20 >