< Ayubu 20 >

1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Entonces Zofar el naamatita respondió y dijo:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
“¡Me veo obligado a responder porque estoy muy molesto!
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
¡Lo que te oigo decir me ofende, pero sé cómo responderte!
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
“¿No sabes que desde la antigüedad, desde que los seres humanos fueron puestos en esta tierra,
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
el triunfo de los malvados no dura mucho tiempo, y que los que rechazan a Dios sólo son felices por poco tiempo?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Aunque sean tan altos que lleguen a los cielos, aunque sus cabezas toquen las nubes,
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
se desvanecerán para siempre como sus propios excrementos. Las personas que los conocían
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
se desvanecerán como un sueño, para no ser encontrados nunca, huyendo como una visión de la noche.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Los que una vez los vieron no los verán más; sus familias no volverán a poner los ojos en ellos.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Sus hijos tendrán que pagar a los pobres y tendrán que devolver sus riquezas.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Aunque los malvados tengan cuerpos jóvenes y fuertes, morirán y serán enterrados.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
“Aunque el mal sabe dulce en sus bocas y lo esconden bajo sus lenguas,
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
no lo dejan ir sino que lo mantienen en sus bocas,
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
y en sus estómagos se vuelve amargo, volviéndose como veneno de serpiente dentro de ellos.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Se tragan las riquezas y las vuelven a vomitar; Dios las expulsa de sus estómagos.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Aspiran veneno de serpiente; la mordedura de la víbora los matará.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
No vivirán para disfrutar de los arroyos, de los ríos de leche y miel.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Tendrán que devolver lo que han ganado y no tendrán ningún beneficio; no disfrutarán de ninguna de sus ganancias.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Porque han oprimido y han abandonado a los pobres; se han apoderado de casas que no construyeron.
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Porque su codicia nunca fue satisfecha, no queda nada que les guste y que no hayan consumido.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Nada escapa a sus voraces apetitos, por lo que su felicidad no dura mucho.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
“Incluso cuando los malvados tienen todo lo que desean, se enfrentan a problemas; toda clase de miseria caerá sobre ellos.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Mientras están ocupados llenando sus estómagos, la hostilidad de Dios arderá contra ellos, y caerá como lluvia sobre ellos.
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Mientras huyen para escapar de un arma de hierro, una flecha de bronce los alcanzará.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
La flecha sale de su vesícula biliar, brillando con sangre. Están absolutamente aterrorizados.
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
Todo lo que valoran desaparecerá en la oscuridad; el fuego divino los destruirá; todo lo que les queda se convertirá en humo.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
Los cielos revelarán lo que han hecho mal; la tierra se levantará contra ellos.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
Todos sus bienes serán sacados de sus casas; serán arrastrados en el día del juicio de Dios.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Esta es la parte que los impíos reciben de Dios, la herencia que Dios dice que deben tener”.

< Ayubu 20 >